Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kama ni damu tu fenesi Lina damu? Hahahaahhahaha huyu jiwe huyu jiwe kaleta kichekesho SanaInawezekana akawa anasema kweli kwa sababu nchi nyingi zilizoendelea (uk ikiwa moja wapo) walikuwa hawana vifaa vya kupimia ugonjwa huu (corona kit) na walipoanza kuwa nazo walikuwa careful sana kutumia kupima kila anaeshukiwa kuwa na virus kwa sababu kits ni ghali sana. kila kit moja inawagharimu £200+. Kadhalika upimaji wa corona unafanywa kwa kuchua swab ndani ya mdomo wa mtu anaeshukiwa kuwa na ugonjwa na sio damu.
Nasikia maabara yetu wanapima ugonjwa huu kwa kuchukua damu tu!
tumeamua kujivua nguo wenyewe bila kujua, hii ni sawa na kui adress dunia kwamba Tanzania hatuna Maabara za kuaminikaKumbe maabara za Tanzania unaweza peleka mafenesi ukawadanganya ni sample ya damu wakakubali.
Nyie wafugaji mnachekesha saaaaana. Eti corona ipo kwenye mbuzi, beberu, kondoo na matunda. Kweli tumefika pabaya na tusirudie kosa hili.Wanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample kwa kuzipa majina ya binadamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana science wake
Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona
Anaamini kua corona ipo na amekiri kabisa, sababu ya kupima mapapai, fenesi, mbuzi , kondoo n.k ni kujiridhisha ukweli wa majibu kutoka katika hivyo vifaa vya kupimia.
Nyumbani kwa Rais??Wewe ndio mpumbavu usiyejua kuwa Chato kuna Ikulu!
Aisee tutachekwa mpaka tukimbie dunia hii, Hii ni aibu mno kuwa na mtu kama huyu jamani tunakwenda wapi?tumeamua kujivua nguo wenyewe bila kujua, hii ni sawa na kui adress dunia kwamba Tanzania hatuna Maabara za kuaminika
Science is everything guysMwambie achague kuua uchumi ili aokoe watu.
Izi porojo porojo zake kwa sasa hazina maana yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mapapai unapeleka sample gani. Au mapapai yana damu?
Zee la mitishamba kila kitu mti shamba hata kuongoza. Tujifunze watu wa kuwapa madaraka watz.Hiyo dawa ya madagasca ikiletwa anywe yeye tu aliye Zoea kikombe cha babu
Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app