Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona siku siyo nyingi "sarah samweli" itawadodea wachuuzi.Sarah samweli miaka 45 positive [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tz siwezi kuhama wallahi. View attachment 1438486
Sent using Jamii Forums mobile app
We jinga kweliNashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh, kaazi kweli kweli."“Oil ya gari tuliipa jina Jabir Hamza miaka 30 ikawa Negative, Fenesi tuliita Sarah Samwel, Papai tulilipa jina la Elizabeth Anne mwenye miaka 26 likakutwa lina corona, kware Positive, mbuzi positive, kondoo negative, maana yake Mapapai yote yapelekwe karantini!?, ajabu hii”-JPM millardayo on Twitter
You're an embicile, you're rotten cunt!!Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.
Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!
Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.
Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
Hata kupima hao wengi ni ujinga kama vipimo haviko sahihi[emoji848][emoji848][emoji12]Yaani mnapima mbuzi na kondoo badala ya kuboresha huduma za afya na mass testing
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka huyo aliyesema hayo hayuko vizuri kichwaniWana bodi Kama heading inavosema naomba kujua hili kutoka kwa wataalamu wa afya hizi sample za majiji ya Kooni zinazochukuliwa kwa binadamu kwa ajili ya kufanyiwa testing ya COVID-19 zinafanana na sample za majimaji ya Vitunguu, fenesi na mapapai?
Na ni kivipi tuhangaike kupima mapapai wakati dunia nzima wanahangaika kufanya mass testing na kuboresha huduma za afya?
Je ni kwamba habari za Corona Tanzania ni uongo?
Chukua hatua Corona ipo jilinde na uwalinde uwapandae.
Parabora
Geneva - Swistsland
2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid, you're more than an embicile,Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Either vipimo Ni defective au wataalamu hawana uzoefu ama Kuna uzembe.Kwamba vipimo vyetu ni fake vinabambikiza watu Corona ilhali ni malaria? Ama wataalamu ndo zero katika kuvitumia??
"“Oil ya gari tuliipa jina Jabir Hamza miaka 30 ikawa Negative, Fenesi tuliita Sarah Samwel, Papai tulilipa jina la Elizabeth Anne mwenye miaka 26 likakutwa lina corona, kware Positive, mbuzi positive, kondoo negative, maana yake Mapapai yote yapelekwe karantini!?, ajabu hii”-JPM millardayo on Twitter