Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

.
IMG_20200503_121520.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi

Sent using Jamii Forums mobile app
We jinga kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtoa mada kama unaamini kuwa kuana maambukizi kidogo kuliko kenya kwa mujibu ya tafiti yako, hujiulizi kwanini? Basi serkali iko makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe akiongea maneno kumi unakuta moja tu ndio la kweli, angekuwa kama anavyosema corona ni ugonjwa mdogo angekuja zake dodoma aendelee kuchapa kazi.

Kwamba unapima mananasi wakati watu wanalalamika vipo havitoshi sababu maabara ni moja watu wapo Arusha wanatuma sumpuri Dar halafu wewe unaweka jam kupima mananasi!

Ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu kuapisha waziri kwenye makazi binafsi ya Rais wakati Ikulu ipo Geita, Mwanza.

Taasisi ya urais sio mali ya mtu binafsi.
You're an embicile, you're rotten cunt!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja ya kunyonga watu hapa yaani mtaalamu kasomeshwana hela ya wananchi wanyonge anashindwa kutofautisha specimen ya mbuzi, papai, fenesi na binadamu!! Oootw na iyo chaaa. Tuwanyonge tu hawa wataalamu. Nilisema tu akitoka mafichoni atafokaaaaaa . Baba rudi Dar BABA tuchape kazi. We are theifu.
 
He is Excellence His majest President sometime he required to know this
 
Wana bodi Kama heading inavosema naomba kujua hili kutoka kwa wataalamu wa afya hizi sample za majiji ya Kooni zinazochukuliwa kwa binadamu kwa ajili ya kufanyiwa testing ya COVID-19 zinafanana na sample za majimaji ya Vitunguu, fenesi na mapapai?

Na ni kivipi tuhangaike kupima mapapai wakati dunia nzima wanahangaika kufanya mass testing na kuboresha huduma za afya?

Je ni kwamba habari za Corona Tanzania ni uongo?

Chukua hatua Corona ipo jilinde na uwalinde uwapandae.

Parabora
Geneva - Swistsland
2020

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka huyo aliyesema hayo hayuko vizuri kichwani
 
Kwa akili yangu ndogo,nimejiuliza maswali mengi sana.
Walisema vifaa vya kupimia c-19 ni gharama,wamewezaje kupima mpaka mapapai,mafenesi na oil za magari?

Cha kushangaza hii sample ya oil ya gar ama papai inapimwaje sijaelewa?
(Hapa naomba usaidizi wa wataalam wa maabara)

Nimeona "supreme leader" ametuma ndege madagasca,kuchukua dawa ya asili ya miti shamba,Je hio dawa ni ya nini,kutibia oil,mapapai na mananasi?

Kwa akili yangu ndogo alitakiwa kuanza kutatua swala la vipimo kwanza,Ili tatizo lijulikane kwanini mafenesi yana c-19 ndipo alete dawa sasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??

This dude seem to be so naive and ignorant!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid, you're more than an embicile,

Get time to read , so stupid in deed

Umeambiwa sample zilipewa majina then unaleta u pupu wako hapa


Mjinga mkubwa wewe na genge lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba vipimo vyetu ni fake vinabambikiza watu Corona ilhali ni malaria? Ama wataalamu ndo zero katika kuvitumia??
Either vipimo Ni defective au wataalamu hawana uzoefu ama Kuna uzembe.
Hili la vipimo kuwa defective limetokea nchi mbalimbali na Kuna vipimo ilibidi viwekwe pembeni,
Kwahiyo mheshimiwa Yuko sawa kabisa watu tu ndo wazito kuadopt ukweli,
Hajasema korona haipo
 
1. Wataalamu wa mambo huu ni UCHOCHEZI wa aina gani juu ya janga hili la COVID-19?

2. Wataalamu wa mambo huu ni UPOTOSHAJI wa aina gani juu ya janga hili la COVID-19?

3. Watalaamu wa mambo huku ni kuleta TAHARUKI ya aina gani katika jamii juu ya janga hili la COVID-19?

Hivi nyie mnao tukuza kila kitu asemacho huyu KICHWA KICHUGU kwa sasa mnajipanga vipi kutetea pumba hizi? Em mkuje haraka nahitaji kusoma maoni yenu.
 
"“Oil ya gari tuliipa jina Jabir Hamza miaka 30 ikawa Negative, Fenesi tuliita Sarah Samwel, Papai tulilipa jina la Elizabeth Anne mwenye miaka 26 likakutwa lina corona, kware Positive, mbuzi positive, kondoo negative, maana yake Mapapai yote yapelekwe karantini!?, ajabu hii”-JPM millardayo on Twitter

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom