Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Inawezekana hivi vipimo vya kuchukulia swab kwenye koo na pua vikawa na corona kabisa. Rais asipuuzwe kwenye hili utafiti ufanyike haraka tutaambikiza Corona wagonjwa wetu wakati wa kuwaingizia kile kipamba kwenye koo na pua. Nasimama na Rais katika hili mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hamjamaliza kufanya test ya barakoa zinazotoka nje, msirukie vitu vingine na kuacha viporo nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu GUSSIE nashukuru kwa bandiko zuri. Naomba unitoe kidogo ujinga, hivi nini kinapelekwa kupimwa ili kubaini huyu MTU ameshambuliwa au hajaambuzwa Coronavirus? Naomba wataalam muliopo hapa JF mtutoe tongotongo.

Ahsante
Mkuu 'Mzalendo Mkweli', nianze kwa kusema kuwa natumai jina alako linaakisi hasa ulivyo.

Sampuli inayopimwa ni 'swab' - iliyokwanguliwa toka sehemu ya mwili kama mdomoni au puani kwa kutumia kitu kama kijiti kilichowekewa pamba, kama vile vya kuondolea 'wax' masikioni, lakini hivi ni maalum kwa kazi hiyo.

Sampuli hiyo ikishachukuliwa inawekwa kwenye kikusanyio maalum ili kuhifadhi isiharibike hadi hapo itakapofikishwa maabara na kupimwa.
Vipimo hivi havitumii damu damu ya mgonjwa.
 
Wewe utakuwa mpuuuzi kweli kweli, yani badala ya kumshangaaa rais unatoa ufafanuz wa kizembe hivyo? Kwa akiri ya kawaida huwezi fanya hiyo kitu bhana, ujue rais ni mtu Mkubwa Sana ndugu, kuanza kudili na mambo ambayo tulidili nayo tukiwa na miaka 7 , ujue labda hujaelewa ni kuwa yeye kakariri kuwa anachotaka ndio kiwe hata kwa nguvu ndio maaana kaona hakiwi katuma mapapai kwa kutoamini kuwa itakuwa anazungukwa na watendaji, sasa katika akiri ya kawaida nchi zingne zimeripoti hadi watu zaid ya milioni moja na laki Tatu wameambukizwa wewe wako Mia moja tu unasema hakuna huu ni uongo itakuwa mabeberu wamekuzunguka ktk akiri ya kawaida utakuwa hauko sawa maaana hata jirani yako Kenya ana kuzidi mbali Kwa maaambukizi wewe bado unasema kuwa utakuwa umezungukwa, swali linakuja je maaambukizi kwako yakiwa laki moja si ndio utachanganyikiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe utakuwa ni uzao wa Nyoka.
 
Kuna miaka fulani ya nyuma kidogo nilikuwa napenda kwenda bar fulani huko Dar,nakutana na wazee fulani wa Usalama. Hawa wazee asilimia 87 wamestaafu,na kwa sasa ndio naamini pale kwenye kampuni kuna mapungufu makubwa sana.
 
Siku zote meko anatakaga kuonekana yeye ni malaika huku akiwasulubu wenzake kulikuwa na haja gani ya kuambia wananchi huo utumbo wa sample za mapapai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka visa vya COVID-19 kuanza kuripotiwa duniani ,visa vingi vingi vimekua vikihusisha binadamu huku visa vichache vikiripoti wanyama kama wahanga wa janga hili.

Lakini Leo tarehe 3 may 2020 kisa cha kwanza cha kustaajabisha kinachohusu COVID-19 kimeripotiwa nchini Tanzania.

Kwa mujibu wa Raisi mpendwa na kipenzi wetu, kisiki cha mpingo, mteule wa Mungu, jiwe kweli kweli toka chato,yeye atembeaye kifua mbele.
Kisa hichi kinamuhusisha moja Kwa moja Jabir Hamza ambaye ni oil chafu ya gari baada ya kupimwa na kugundulika ana virusi vya Corona hivyo kuwa kisa cha kwanza cha Corona kinachohusisha oil za magar duniani kote.

Asanteni.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kukariri nani kakuambia sampuli ya kupima covid 19 ni damu?

Sampuli inayotumika ni nasal swabs na si damu, ambapo majimaji huchukuliwa katika pua za mnyama kwa kutumia kitu kama pamba na kisha hupelekwa maabara kuchunguzwa kwa kutumia PCR...

Watanzania embu tujifunze ku reason kabla ya kuchangia mada, pia niwaase vijana tumieni muda wetu wa akiba kujifunza vitu vipya ambavyo vitawaongezea kitu katika bongo zenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay tumekuelewa kaka mtaalamu,kwa hiyo tusiogope Corona maana ni ugonjwa wa kawaida tu hata Mbuzi na Papai wanao..

Au tuamini kwamba wataalamu wa Maabara ya Taifa wanatumiwa na mabeberu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo walipopeleka mafenesi yalitambuliwa ni sample gani kutoka mwilini. Ni kamasi, makohozi, machozi, choo, mkojo au kitu gani hasa.
Siku nyingine utawapa vipande vya mbao uwaambie ni sample za mifupa na wakubali.
Kuna mda sampuli huchukuliwa kwa kuingiza kifaa kinywani Hadi kwenye Koo, sijajua sampuli zingine huchukuliwa sehemu gani za mwili
 
Ahahhahahahahaa leo ndio kanichekesha ni kama ze comedy show huyu mzee anaongea huku haamini alichotamka yani ili mradi tu upoyoyo huu jamani hahahhaha.Cha msingi watu washampuuza saiz
ww mpuuzi
 
Wanabodi,

Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona

Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Je? Tatizo ni vipimo tulivyonavyo au Tatizo ni utalaamu wa watu wa maabara
Je?Ni nani alituuzia hivyo vifaa

Kwa hiyo nchi za Marekani,China na ulaya ni waongo kwa idadi za vifo wanavyotutangazia na yale mazishi ni maigizo

Je? Ni wakati wa kuacha kula mbuzi,mapapai na vyote vilivyoonyesha Positive

Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona.

Soma hapa > Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums
[/QUO

Tujiulize tatizo ni wabunge kujali maisha yao au serikali yenyewe kusema vipimo vyao sio vya uhakika. Sasa je nani anajua kama bunge lipo salama
 

Wabunge wa kulaumu au vipimo. Wameomba uhakiki tu baada ya wenzao kufa kwa Corona
 
Back
Top Bottom