Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...


definately,atapanda na kuchukua 15 mln///tehetehetehet
 
..millions 9.5 za nini wakati serikali inamgharimia kila kitu hata kuanzia chakula, makazi, hata luku halipii.

..zaidi ya hiyo millioni 9.5 kuna posho anapokea. Sasa Kama ni mkweli aeleze anapokea kiasi gani.

..pia akistaafu anajengewa nyumba na kuendelea kutunzwa yeye na familia yake.

..Huu ndiyo tunaita UNYONYAJI.
 
Pumba[emoji107]
 
Mmmh bado siamini

Amini huyu ndio rais wa Africa hapa Uganda wanataka hata ikiwezekana wabadilishiwe wapewe JPM, leo kwenye cowafanyakazi wabishi wapika majungu hapa nimewafumania wakimmwagia sifa JPM as if ni watZ, sio hapa tu hata kwenye mabus story zitapigwa mwisho wake ni Tanzania na ni JPM, sifa kama hizi aliwahi mwagiwa sana JK kule DRC hasa baada ya kuwafurusha M23
 
 
Hivi heshima ya rais ni kucheza na media muda wote? Magufuli hajui kuwa kuna mambo ya kujibu yeye kama rais na mambo ya kujibiwa na vyombo husika? Kwa heshima ya ofisi ya rais wa nchi yoyote kufahamu lipi lijibiwe na wakkati gani na nani nijambo la muhimu sana. Vinginevyo ni udhaifu mkubwa sana kwa taasisi husika.
 
  • Wajinga wa lumumba eti hiyo ni uzalendo si apokee tu kama ya mwalimu laki 5 tujue ni mzalendo? Si anakula bure malazi bure!!! Na miposho kibao? Mlaji ni mlaji sio lazima ataje mshahara wake wajinga ndo waliwao
    Nyumbu
 
Kwa akili OTE="NJALI, post: 15738537, member: 197252"]Ataje na masurufu mengine, usikute allowance mil 30 mshara ndio M 9.5 hii Nchi hii, Ngoja tuone hii tamthiliya itaishia wapi.[/QUOTE]
Kwa akili hizi Tz kuendelea bado sana tuu
 
pengine huo unaweza kuwa ndo mshahara mdogo kuliko wa rais yeyote yule duniani..................sasa sijui kama kuna ukweli au vipi ila ngoja movie iendeleee iko siku tutafika tu
 
Upungue kwa sasa hivi. Uchumi ukiimarika ataongezewa. Hana matumizi nazo zaidi ya kupeleka kwa wahitaji. Elimu ni bure, kula, kulala na hata wardrobe yake na ya mama yetu vianagharamiwa na kodi zetu. Wote tuwe wazalendo. Hii habari ni ya kweli lakini?
 
Yaani Magufuli naye.anaitumia 1st April kutujingaisha sisi? Mbona mwenzake alisema mshahara wake hauzidi 30 m kipindi alipobanwa kwamba anamzidi rais Obama? Huyu naye atanifanya niendelee kutokuwa na imani naye, maana rais akiwa mwongo mwongo sasa raia itakuwaje? Tena asitake kuendelea kuniaminisha kwamba hata urais hakushinda!
 
Ya kweli haya?! yule jamaa yetu wa msoga yeye alikuwa anakunja 192m us dollar kwa mwaka sawa 36 m tsh kwa mwezi!. basi magufuli ni mzalendo
Nilivyoelewa kasema huo ndo mshahara aliokuta ina maana hata msoga alikuwa anapokea hiyo 9.5 leo kweli siku ya wajinga hata kama habari haihusiani na siku ya wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…