Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Sidhani kama ni hoja muhimu kujadili mshahara wa Raisi. Matatizo ya watanzania sioni kama mojawapo ni mshahara wa Raisi kwamba ama mdogo au mkubwa.maana raisi ni kila kitu na kwamba kama ataamua hata Ku acha mshahara akaanza kutumia ikulu kwa maslahi binafsi basi dili moja tu linaweza Ku cover mshahara wa kipindi chote cha utumishi na pengine pesa yake itaweza kutosha kula maisha yake yote na ukoo wake mzima.
Ni vema tukakumbushana kwamba ilifikia Wakati tulihitaji raisi wa aina hii ambaye hata wapinzani ahadi zao ilikuwa kuinyoosha nchi. Je wangewezaje kuinyoosha pasipo kuumiza baadhi ya watu. Ukinyoosha maana yake lazima u-strain na kwa kufanya hivyo lazima Kuwe na maumivu.
Kumbuka kuwa tunazungumzia kunyoosha na sio kurekebisha. Maana ukitekebisha unaweza ukawa unapita mlemle. Hatutaki hilo.
Ni ukweli kwamba maisha yamepanda gharama. Unga, sukari, maharage, MAFUTA, nk lakini ukiwa kwenye mpito lazima mtikisiko utokee. Naamini katika mafanikio. Jpm atatufanikishia hata kama tunapitia magumu.
Unaakili timamu?? Si aliahidi mwenyewe kwani alilazimishwa?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
taja kwanza izo njia za kutuma salary slip ya Rais afu ndo tuchague................magwepande hapana
 
Kiukweli kabisa katika mambo ambayo ni confidential ni pamoja na mshahara wa mtu.... Sasa mheshimiwa alishawaambia mshahara wake bado hamuamini mnataka na salary slip!!! Kwani kuna watu huwa wanalipwa mshahara bila salary slip? Labda casual labors (Vibarua) Bado sijaelewa wanaodai hiyo salary slip ina maana hamuamini kazi ya hazina?
Fanyeni kazi jamani mambo mengine hayana hata maana ya kuyajadili ni kupoteza muda. Kuna watu humu jamii forum hata familia zao hawajawahi kuwaambia wanalipwa mshahara kiasi gani, inawezekana hata salary slip familia zao hazifahamu inafananaje? wanadhani labda ni sehemu cheo au utaratibu makazini....
 
Hazina na BOT ziko chini ya mukulu akiamua tu anamega atakapo

Point! Ni kupoteza muda kuulizia salary slip ya mtu aliye na uamuzi wa mwisho kuhusu madaktari waajiriwe kenya au Tanzania au waendelee kusubiri vijiweni hadi "mahesabu yake" yatakapokubali. Order ya Bombardier na/au Dreamliners ngapi iwekwe? Wizara ipi ipewe pesa kiasi gani. Ipi iminywe?

Mtu ambaye gharama za maisha yake na familia zinalipwa na serikali asilimia 100 tena yeye akiwa ndiye muamuzi wa kiasi na viwango vya bidhaa na huduma zinazotumika nyumbani kwake.

Bado kuna watu wanaulizia hiyo salary slip kweli?
 
Ataje na masurufu mengine, usikute allowance mil 30 mshara ndio M 9.5 hii Nchi hii, Ngoja tuone hii tamthiliya itaishia wapi.
Sio kweli kafoji salary slip.Ataje na zile anazoziiba kunyemela.
 
Si alipwe milion 2 tu abane bajeti au bajet kwa wengine tu
 
Sidhani kama ni hoja muhimu kujadili mshahara wa Raisi. Matatizo ya watanzania sioni kama mojawapo ni mshahara wa Raisi kwamba ama mdogo au mkubwa.maana raisi ni kila kitu na kwamba kama ataamua hata Ku acha mshahara akaanza kutumia ikulu kwa maslahi binafsi basi dili moja tu linaweza Ku cover mshahara wa kipindi chote cha utumishi na pengine pesa yake itaweza kutosha kula maisha yake yote na ukoo wake mzima.
Ni vema tukakumbushana kwamba ilifikia Wakati tulihitaji raisi wa aina hii ambaye hata wapinzani ahadi zao ilikuwa kuinyoosha nchi. Je wangewezaje kuinyoosha pasipo kuumiza baadhi ya watu. Ukinyoosha maana yake lazima u-strain na kwa kufanya hivyo lazima Kuwe na maumivu.
Kumbuka kuwa tunazungumzia kunyoosha na sio kurekebisha. Maana ukitekebisha unaweza ukawa unapita mlemle. Hatutaki hilo.
Ni ukweli kwamba maisha yamepanda gharama. Unga, sukari, maharage, MAFUTA, nk lakini ukiwa kwenye mpito lazima mtikisiko utokee. Naamini katika mafanikio. Jpm atatufanikishia hata kama tunapitia magumu.
Tatizo hata focus hatuioni,ni sawa tunakaza mkanda huku matumaini hayapo
 
Kila kitu kina mwanzo wake, hata madikteta wengine walianza kama mchicha
 
Sidhani kama ni hoja muhimu kujadili mshahara wa Raisi. Matatizo ya watanzania sioni kama mojawapo ni mshahara wa Raisi kwamba ama mdogo au mkubwa.maana raisi ni kila kitu na kwamba kama ataamua hata Ku acha mshahara akaanza kutumia ikulu kwa maslahi binafsi basi dili moja tu linaweza Ku cover mshahara wa kipindi chote cha utumishi na pengine pesa yake itaweza kutosha kula maisha yake yote na ukoo wake mzima.
Ni vema tukakumbushana kwamba ilifikia Wakati tulihitaji raisi wa aina hii ambaye hata wapinzani ahadi zao ilikuwa kuinyoosha nchi. Je wangewezaje kuinyoosha pasipo kuumiza baadhi ya watu. Ukinyoosha maana yake lazima u-strain na kwa kufanya hivyo lazima Kuwe na maumivu.
Kumbuka kuwa tunazungumzia kunyoosha na sio kurekebisha. Maana ukitekebisha unaweza ukawa unapita mlemle. Hatutaki hilo.
Ni ukweli kwamba maisha yamepanda gharama. Unga, sukari, maharage, MAFUTA, nk lakini ukiwa kwenye mpito lazima mtikisiko utokee. Naamini katika mafanikio. Jpm atatufanikishia hata kama tunapitia magumu.
Akili yako ina matatizo kweli kweli!!.

Ni lini tulitaka mtu ambaye hawezi simamia maneno yake?



Alafu unatia huruma sana! Unaelewa maana ya kunyoosha nchi? Mafuta...mchele...sukari vyote viko juu achilia mbali kuanguka kwa shilingi bado tu unasema nchi inanyooshwa?? Are you insane?
 
Poleni wote mliochangia mada kwani hamkujua ilitoka tarehe ngapi na saa ngapi. Ilikuwa rasmi kwaajili yenu wajinga. Fool's day.
Naona akili zenu zinafanana!! Fools day inaingia vipi kwa rais? Kwa hiyo angesema tuishambulie kenya alafu badae akasema ilikua fools day ungemuelewa??
 
Back
Top Bottom