mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini wapotee sasa??
Kwa hiyo taarifa ya mtu kupotea itolewe baada ya kusubili miezi mingapi??Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana. Ila hii ndo dawa.Tutaunda vikundi vya ulinzi ili tujilinde wenyewe. Na ndipo itakapojulikana Nani mwenye ushahidi.
Kuna siku watajitaja tu, ogopa damu ya binadamu mwenzio,Mmeibuka kama mapunguani kushingilia maagizo ya kipuuzi Kama haya? Roma, Mdude, Mo, Azory, Lissu, Ben walikuwa kwa hawala zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona waliopotea na kurudi kumekuwa na ukakasi walikuwa wapi?Halafu jukumu la Ulinzi na usalama wa Watanzania ni lako wewe Amiri Jeshi Mkuu.Sasa kama hivyo vitendo havikomeshwi nani wa kulaumiwa kama sio wewe?
Mzee mmoja alimpandisha kijana wake juu fensi, akamwambia kijana wake 'ruka chin nitakudaka' kijana akaruka then Mzee akamkwepa,Kijana akadondoka chin, kijana alilia kwa uchungu akamuuliza Baba ake kwann umeniacha nianguke? Baba ake akamwambia nlitaka ujifunze kutoamin mtu/watu.