Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Rais Magufuli, nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo

Wanajuwa waliohusika kama pia wapo hai. End
Kwa kauli huwenda waliomuua kuna baadhi yao pia waahatangulia mbele ya haki. Nimekuwa nikikufuatilia kwa ukaribu mno huwenda ukawa boss mmoja wapo kule eagle maana kuna vitu unaandika vinafikirisha sana
 
Kwa maana alisema sisi ni 'Nchi Tajiri sana,
sisi sio Masikini...
Sisi ni 'Dona Kantri!'
Ni kweli nchi kama nchi INA kila kitu isipokuwa watu wake ndio masikini , ukiniuliza kwanini watu wake ni masikini nitakujibu kama alivyowajibu mhe Kikwete huko ufaransa kwamba hata yeye hajui ni kwanini !! Resources zote unazozijua wewe hapa duniani Na Tanzania zipo mzee !!
 

Kuna kitu anajua huyu
Hakuna ninachokijuwa zaidi nina uwezo wa kusikia na kuona mambo ya sirini.. binafsi najiogopa.
 
Nimeangalia muanzisha uzi nikidhani ni nabii G Lema nikakuta sio yeye!
Smtz huwa naheshimu sana unabii wa my Lema,
Hongera kwa unabii!
 
Kwa kauli huwenda waliomuua kuna baadhi yao pia waahatangulia mbele ya haki. Nimekuwa nikikufuatilia kwa ukaribu mno huwenda ukawa boss mmoja wapo kule eagle maana kuna vitu unaandika vinafikirisha sana
Mm raia wa kawaida sana. Nipo dampo ya mabibo...
 
Back
Top Bottom