Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Sio kweli,,, kudra ya mwenyezi munguNasikia Magufuli naye aliuawa kwa maslahi mapana ya taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli,,, kudra ya mwenyezi munguNasikia Magufuli naye aliuawa kwa maslahi mapana ya taifa
Kwa kauli huwenda waliomuua kuna baadhi yao pia waahatangulia mbele ya haki. Nimekuwa nikikufuatilia kwa ukaribu mno huwenda ukawa boss mmoja wapo kule eagle maana kuna vitu unaandika vinafikirisha sanaWanajuwa waliohusika kama pia wapo hai. End
Ni kweli nchi kama nchi INA kila kitu isipokuwa watu wake ndio masikini , ukiniuliza kwanini watu wake ni masikini nitakujibu kama alivyowajibu mhe Kikwete huko ufaransa kwamba hata yeye hajui ni kwanini !! Resources zote unazozijua wewe hapa duniani Na Tanzania zipo mzee !!Kwa maana alisema sisi ni 'Nchi Tajiri sana,
sisi sio Masikini...
Sisi ni 'Dona Kantri!'
Njoo inbox mm ndio Karan wa TumainiElNaomba ushauri mkuu
😭😭😭namlilia ndugu Ben Rabiu Saanane😭😭😭Soma mada yangu nina nguvu za ajabu mpaka najiogopa.
Hata wewe utakufa jindi ulivyojinenea. Msimchokoze Muumba.Alijua hali yake dhohofu bin hali, Kibatari kipo kwenye upepo na mafuta hayatoshi
Yaani uipende Tanzania mpaka ifike hatua ya kuwaua watanzania wenzako hovyo kama uhai wao hauna thamani, ndio upendo gani?
Hakuna ninachokijuwa zaidi nina uwezo wa kusikia na kuona mambo ya sirini.. binafsi najiogopa.Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake.. Jibu ni hapana. Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari...www.jamiiforums.com
Kuna kitu anajua huyu
Hongera mkuuHakuna nina chokijuwa zaidi nina uwezo wa kusikia na kuona mambo ya sirini.. binafsi najiogopa.
Nina ndoto ya uraisi hebu chungulia ya sirini halafu uni PM utakacho kiona!!!Hakuna ninachokijuwa zaidi nina uwezo wa kusikia na kuona mambo ya sirini.. binafsi najiogopa.
Mm raia wa kawaida sana. Nipo dampo ya mabibo...Kwa kauli huwenda waliomuua kuna baadhi yao pia waahatangulia mbele ya haki. Nimekuwa nikikufuatilia kwa ukaribu mno huwenda ukawa boss mmoja wapo kule eagle maana kuna vitu unaandika vinafikirisha sana
Mungu ndiye hugawa uwezo wa ajabu.Nina uwezo wa ajabu sio vingine. Naukifuwata ninacho shauri huwezi juta.
I have read your article yesterday you seem to have some crucial Info's but Still hesitate to call you prophet.The man who see tomorrow 😭🤐🙏