atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Labda ww na familia yako ndio mnamtaka,pls Semea nafsi yako lkn sio ya waTzKama hataki ni yeye sisi bado tunamtaka akae miaka 20 ikiwezekana bila uchaguzi kwani katiba si msahafu tubadilishe tu hicho kipengele. Lengo ni tumpe muda wa kutosha akamilishe yote mazuri aliyoanza ili atapoondoka tuwe na akili ya kuyaendeleza big up mzee
Amesema yeye ni Rais aliye apa kulinda na kutumikia katiba.
Hata Mtani wake Ngonyani aliposema aongezewe miaka 20 amemuelewa kuwa ana maanisha aongezewe miaka 20 ya kuishi...
Kwa hiyo yeye ataendelea kuheshimu na kulinda katiba.
Wewe magufuli sio wakumfananusha bora ata mimi ningeweza fanya vzr kuliko yeye magu kwanza ni favaratism/nepotism kwa issue ndogo tu ya cheti mbona bashite ahashugulikiwa, haya uvamizi wa clouz kumpatanisha muharifu na luge wakati mwarifu alipaswa kushughulikiwa. Lastly uyu MTU toka ameingia ameonyesha kushindwa kabisa bidhaa zimepanda mfano sukar etcSio wapumbavu. Tukubali na tukili kuwa Afrika haita pata Marais kama hawa Thomas Sankara, Gerry Rolling na Magufuli tena. Hawa wanasifa ambazo ziko sawa: uzalendo, kupenda wananchi wenzao na tatu sio corrupt.
Na ndiyo watu wanao mpenda Magufuli wangeomba atawale mpaka lufa kwake kwani miaka 10 haitatosha kuleta maendeleo aliyeyakuaudia. Kwa wale wasio mpenda hiyo inajulikana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.
Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.
mkuu waliosema anaongezewa muda, uliwaamini? au wewe ndio una tatizo la kuamini ila kinachosemwa?
Sikuwaamini.
Mbona haya kwa JK kuna waliojipendekeza wakijifanya wanampenda sana?
Ha ha ha siku zinasogea aiseeeAsije akageuka kama wanavyo geuka sasa kuhusu lipumba.View attachment 560178
Atamuiga Mbowe
Yaap, wale vimidomo kunuka wazee wa kajipendekeza na kujisau wanajifanya wanajua kuliko katiba ya nchi, mi nawaonaga ni wa binafsi wanaojificha kwenye uzalendo. Aibu yaoUjumbe umefika kwa wale wenye kujipendekeza
Tufanye kazi kwa weledi ili Tanzania mpya iwe nzuri zaidi
Ahh wapi, hana ubavu huo, mpaka abadili katiba na akibadili hata ccm wenyewe watampingaInafanana tu na kauli hizi:
.......sitowachagua wapinzani.......
.......nitapandisha madaraja na increments zote za wafanyakazi mwaka huu......
Lipi jipya unataka kusikia kwa wanasi-hasa!!!
Huwa wanakanusha then inatokea wanang'ang'ania kwa kigezo kuwa nimeelemewa na watu wanaotaka nibaki madarakani kwahiyo nimewaagiza wapeleke muswada katiba ifanyiwe marekebisho. Nitakuwa wa mwisho kuamini mpk nione ikitokea hivyo. Kwa haya tunayoona mmmh!Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.
Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.