Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Kama hataki ni yeye sisi bado tunamtaka akae miaka 20 ikiwezekana bila uchaguzi kwani katiba si msahafu tubadilishe tu hicho kipengele. Lengo ni tumpe muda wa kutosha akamilishe yote mazuri aliyoanza ili atapoondoka tuwe na akili ya kuyaendeleza big up mzee
Labda ww na familia yako ndio mnamtaka,pls Semea nafsi yako lkn sio ya waTz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesema yeye ni Rais aliye apa kulinda na kutumikia katiba.
Hata Mtani wake Ngonyani aliposema aongezewe miaka 20 amemuelewa kuwa ana maanisha aongezewe miaka 20 ya kuishi...
Kwa hiyo yeye ataendelea kuheshimu na kulinda katiba.

Fafanua hapo, Ngonyani alimaanisha nini kwa rais?
 
kwani katiba haiwez badilishwa? Maana tulitakaga katiba mpya ikapozwa kwanza,labda ikija itazingatia hilo la kuongeza kamuda. Mahasimu ni wengi siku mtu anarudi kijijini sijui mabaradhuli yatakuwa yameokoka!!
 
Sio wapumbavu. Tukubali na tukili kuwa Afrika haita pata Marais kama hawa Thomas Sankara, Gerry Rolling na Magufuli tena. Hawa wanasifa ambazo ziko sawa: uzalendo, kupenda wananchi wenzao na tatu sio corrupt.

Na ndiyo watu wanao mpenda Magufuli wangeomba atawale mpaka lufa kwake kwani miaka 10 haitatosha kuleta maendeleo aliyeyakuaudia. Kwa wale wasio mpenda hiyo inajulikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe magufuli sio wakumfananusha bora ata mimi ningeweza fanya vzr kuliko yeye magu kwanza ni favaratism/nepotism kwa issue ndogo tu ya cheti mbona bashite ahashugulikiwa, haya uvamizi wa clouz kumpatanisha muharifu na luge wakati mwarifu alipaswa kushughulikiwa. Lastly uyu MTU toka ameingia ameonyesha kushindwa kabisa bidhaa zimepanda mfano sukar etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.



mkuu waliosema anaongezewa muda, uliwaamini? au wewe ndio una tatizo la kuamini ila kinachosemwa?
 
Sikuwaamini.

Mbona haya kwa JK kuna waliojipendekeza wakijifanya wanampenda sana?

hao wanaowaza hayo huwa ni wachawi na wanajipendekeza tu

hatatokea rais nchi hii kujiongezea muda

washindwe, na rais leo kawaaibisha
 
Kama hili hukulijua nakukumbusha tena moja ya Kauli ambayo Hayati Baba wa Taifa aliitoa wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ambapo alisema kuwa namnukuu " kutokana na Vyama vingi vya Upinzani nchini kuonekana bado havijajipanga huenda siku ambayo CCM itamsimamisha Mgombea wake basi ikawa pia ndiyo imemtangaza Rais wa Tanzania " mwisho wa kumnukuu na uzuri ni kwamba Kauli hii ipo katika hiyo Hotuba itafute ujiridhishe mwenyewe.


Hio kauli baba wa taifa aliitoa mwaka gani na hii leo tunapoandika hivi unaamini bado kauli ya Nyerere ina impact,hizi ni zama nyingine erooo

Nyie ndio bado mnaamini watz ni wale wa miaka ya 47



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kumi vipi,,miaka si ni mitano

Bless I
 
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firaoun, yani mbumbu wa CCM wanamuwazia dictator uchwara kuongezewa muda hali yakuwa hata hiyo miaka 10 yenyewe inayotambulika kikatiba kunauwezekano mkubwa wa kuikosa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafanana tu na kauli hizi:
.......sitowachagua wapinzani.......
.......nitapandisha madaraja na increments zote za wafanyakazi mwaka huu......
Lipi jipya unataka kusikia kwa wanasi-hasa!!!
Ahh wapi, hana ubavu huo, mpaka abadili katiba na akibadili hata ccm wenyewe watampinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Huwa wanakanusha then inatokea wanang'ang'ania kwa kigezo kuwa nimeelemewa na watu wanaotaka nibaki madarakani kwahiyo nimewaagiza wapeleke muswada katiba ifanyiwe marekebisho. Nitakuwa wa mwisho kuamini mpk nione ikitokea hivyo. Kwa haya tunayoona mmmh!
 
Back
Top Bottom