Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Anachoongeaga kwenye media yule jamaa huwa hakifanani na anachokiwaza na kukiratibu kichwani mwake ameshawahi kuwaita wafanya biashara ikulu ili wasaidiane kumtafuta mchawi anaepelekea sector ya biashara kufa matokeo yake kawatoa sadaka maofisa kadhaa wa TRA ili ajisafishe yeye mchawi mkuu.Nasema ni mchawi mkuu kwa sababu ikizimwa camera anawapa maagizo na lengo kubwa la makusanyo hao hao TRA na vitisho juu then hao hao TRA wanarudi kutafuta lengo kwa wafanyabiashara kwa namna yoyote ikiwemo kuumiza watu na biashara zao alafu anajitokeza tena kwenye media kushangaa kwa nini TRA wananyanyasa wafanyaBiashara nchini.
""UELEKEO NI ZIMBABWE FUNGENI MKANDA WATANZANIA"Utamsikia akisema "WATANZANIA MNIOMBEE"
 
Ameshaongea mara nyingi,mbona mnakua wagumu kuamini...haongezi hata dakika moja...
 
Hebu acha ujinga! Mie hata huyo Magu sijawahi kusogeleana naye km 5! Na sijawahi ongea naye ana kwa ana! Na kimsingi hajui hata kama nipo hapa duniani! Lakini sasa mimi nipo mstari wa mbele kabisa kindakindaki Magu apewe 👊👊 tena! Ucha mchecheto, Magu si ameshakataa hadharani, na sisi wenye mtazamo wa 👊👊 tena tutahakikisha tunambeba mzomzobe mpaka tutoboe 👊👊 tena! Wenye wivu kitanzi cha kuji'mkwawa' kinawahusu! Ova!
 
kama uchafuzi wa serikali za mitaa na ule uchafuzi mkuu wa 2020 ulinajisiwa kwa kiwango cha SGR wadadisi tumeshabaini nini kiko nyuma ya haya matamko ya walazamishaji...
 
Kagame ameshamuonaga huyu jamaa sio hata wa kukaa nae karibu.Kaunda ushosti na huyo mseven
 
Anapima upepo. Narudia tena anapima upepo. Ndiyo maana kila akijitokeza hazungumzi kwa msisitizo na wala hajawahi kukemea hao washenzi wenye haya mawazo. Anapima upepo akiona upinzani umekuwa mkubwa na hawezi kutimiza ndoto yake basi aonekane kama hakuwa na hiyo nia. Marais wote wanaotaka kubaki madarakani huwa wanatumia hiyo njia.
 
This time NO.
Atatakiwa akabidhi nchi kwa mtu mwingine endapo atataka kufia madarakani, tambueni mrithi ajaye nae atataka kufia madarakani.
This time NO.
 
Watoto wengi mtaani kwetu wanajua huyo ndiye Rais hadi Mungu atakapoamua vinginevyo.
Sijui huu ujasiri wameutoa wapi
Huo mtaa lazima uwe Lumumba wa wajinga ingawa si wajinga, maana mtoto ni mtoto tu hata mtaa husika uwe London watoto hawatajua jina la huyo kiongozi wala Mungu ni nani ingawa wanakwenda kanisani kila Jumapili wao wanajua mwalimu tu kama wameanza shule. Mwulize mtoto mama yake anaitwa nani atajibu "mama" au mwalimu wake anaitwaje jibu ni "mwalimu", huyu kilaza anayetafuta uteuzi anatwambia watoto wa mtaa wake ni majasiri sana wanamjua Rais John Pombe Joseph Magufuli wanamwombea kwa Mungu atawale milele. MaCCM hayo, kesho tutasikia ameteuliwa Mkuu wa Mkoa wa Geita!
 
Hatuwezi kupoteza bahati ya kuwa na kiongozi mwadilifu na mcha Mungu eti kwa kuwa katiba itakiukwa wakati sisi ndio wenye mamlaka na katiba hiyo. Viongozi aina ya Magufuli si wa kuwaachia kirahisi, hawapatikani kwa urahisi!! Ukiona watu kama mzee Butiku wanaunga mkono hoja ujue kuna maslahi ya kitaifa hapo!
Mafisadi kama mlikuwa mnasubiri miaka kumi iishe, imekula kwenu!!
 
Tafadhali rais Magufuli usituangushe!! Usitukatalie, lazima tukuongezee muda Hadi nguvu zitakapokuishia!! Kwa Sasa wewe bado kijana sana!!
 
Asante sana janja la mtaa. Inaonekana huko kwenu ndiye pekee mwenye maamuzi ya mwisho na hakuna anayekupinga.

Jambo dogo kama hilo (post yangu) umeshindwa kuelewa kweli?

Unatia huruma sana
 
Tafadhali rais Magufuli usituangushe!! Usitukatalie, lazima tukuongezee muda Hadi nguvu zitakapokuishia!! Kwa Sasa wewe bado kijana sana!!
Mnamlazimisha Mungu kutenda yake hata kama alikuwa hajapanga.
 
Hakuna kiongozi muadilifu ananajisi box la kura, na kuendesha kundi la watu wasiojulikana.
 
Alihaidi ato ongeza ata sekunde atamaliza muda wake kwa mujibu wa katiba ya nchi.
 
Hilo jambo sio kwamba tu Mzee Meko yuko nyuma yake, yuko mbele na kati. Yeye ndiye designer and engineer wa mpango mzima.

Jipe muda ndugu utaona mambo.
 
Hata yeye alishasema akitoka hana uhakika kama reli itajengwa au bwawa la stigilazi. Sasa kwa akili yako unafikiri hao wamekurupuka? Hapo wanatafuta uhalali ionekane sio yeye anayetaka kubadili katiba. Tuwe wavumilivu muda utasema. Aibu kubwa hii sijui tutaificha wapi
 
Nb: Jambo ambalo nilikuwa silijui Ni kwamba kuna watu,mtu au kikundi cha watu kwa Nia zao nzuri au ovu wana uwezo wa kumlazimisha Rais atekekeze matakwa fulani tena apende au asipende. Na mpaka sasa hivi sijui hili limekaaje kikatiba au kisheria.[/QUOTE]

Hapa neno ndipo lilipo!

They call it survival of the fittest!

The world is a Jungle! You either fight or run forever!
 
Magu amenogewa hataki kj kuondoka madarakani kama walivyo ndugu zake kagame na m7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…