Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Ina maana upinzani na ndoto za mamvi zimezimwa, ana uhakika wa kushinda uchaguzi ujao.
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Safi sana ila anakumbuka kuwa alitamka hadharani kuwa anajuta kugombea?
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Je akibadilisha katiba? Ni ngumu kuwaamini wanasiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
13346587_292546764422929_2987088698017245239_n.jpg

Tuna Subiri Utekelezaji Wa Kauli.
Maana Huyu Mtu Si Wakumuamini
Hata Kidogo. Alisema Hatochagua
Wapinzani Katika Utawala Wake.
Lakini Hakumbuki Kauli Yake Sasa
Anateua Na Kuita Wengine Vilaza.
Naomba Post Hii Iwekwe Kwenye
Kumbukumbui Za JF.
Just A Matter Of Time.
 
Kwani ni miaka kumi au mitano? Huyu baba hajui kuwa 2020 tunapimana ubavu?
 
Haelewekagi huyu akiwa Zenji aliapa kuteua wapinzani kwenye serikali yake majuzi kaikana kauli hiyo kuwa ilitakiwa ieleweke aliitamkia akiwa wapi. Hata hivyo huyu mzee kachoka hata hii miaka mitano ishamtoa pumuzi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kina Kagame walianza kwa kusema wanaheshimu katiba.Ndiyo maana katiba ilibadilishwa ili waendelee kuiheshimu.
 
Kama hataki ni yeye sisi bado tunamtaka akae miaka 20 ikiwezekana bila uchaguzi kwani katiba si msahafu tubadilishe tu hicho kipengele. Lengo ni tumpe muda wa kutosha akamilishe yote mazuri aliyoanza ili atapoondoka tuwe na akili ya kuyaendeleza big up mzee

Umejuaje kana hawezi kuyakamilisha ndani ya miaka 10 bali ishirini?
 
Sasa hiyo picha inasaidia kutoa ushahidi wa alichokisema kwa namna gani?
 
Kwanza alianza kusema anajuta kugombea.Akaja akasema anatamani urais ungekuwa miaka miwili na nusu.Akaja akasema natamani niondoke baada ya muula mmoja.Leo anasema atakuwepo kwa miaka 10...Utamu taratiibuuu unakole kama walivyoanza kina Kagame na Nkuruzinza!
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.



Hivi kati ya wananchi na yeye ni nani ana mamlaka ya juu ya kuamua kuongeza muda au la?
 
pye Chang shen unataka kusema kuwa kati ya wanachama 8m+ hakuna mwanaccm mwenye weledi wa kutuvusha hiyo 2025 to 2035 mpaka awe Magufuli!?
Exactly uthubutu alionao magufuli sidhani kama yupo mwingine mfano tuchukulie aliyoyasema pale raskazone tanga kuhusu mji wa tanga ni kweli tupu na sikuwahi kumsikia kiongozi japo wa mkoa akiyasema big up mzee
 
Kwanza alianza kusema anajuta kugombea.Akaja akasema anatamani urais ungekuwa miaka miwili na nusu.Akaja akasema natamani niondoke baada ya muula mmoja.Leo anasema atakuwepo kwa miaka 10...Utamu taratiibuuu unakole kama walivyoanza kina Kagame na Nkuruzinza!
hahahahahahaha................................................. mwisho wa yote ataomba tumuombee mungu abaki hahaha
 
Kwanza alianza kusema anajuta kugombea.Akaja akasema anatamani urais ungekuwa miaka miwili na nusu.Akaja akasema natamani niondoke baada ya muula mmoja.Leo anasema atakuwepo kwa miaka 10...Utamu taratiibuuu unakole kama walivyoanza kina Kagame na Nkuruzinza!

Nilivyoelewa ni kuwa hawezi kukaa zaidi ya miaka aliyopangiwa na katiba yaani wananchi ambayo ni miaka 10, ila hajasema atashinda uchaguzi wa 2020. Na iweje aseme mitano wakati ana fursa ya kuongeza?
 
Back
Top Bottom