Rais Magufuli relax, hawataki Urais wako bali wanataka ujivuruge

Mbaya zaidi hata wewe mwenyewe umepanick ndio maana kwa mara ya kwanza umeanzisha thread.
 
safi sana mkuu, very smart thinking
 
Chokochoko gani wewe choko acha kutisha watu kwa ufala wako
Ukinya usikimbie harufu ya kinyesi chako.!
Itakapo kulazimu utazoa au utakabiliana na harufu yako mwenyewe.
Hakuna sehemu yoyote katika maelezo yangu nimetumia lugha ya kuudhi ama matusi. Aina ya maneno mnayoyatumia kujibu hoja inawapa fursa wenye utambuzi kujua umri wenu na hulka zenu.
 
Mimi goodfoool , sielewi lolote linaloendelea juu ya hizi nyimbo za BM BM BM BM, Magufoool si ndo rais au anataka kuacha kazi??
[emoji41][emoji41]
 
Ni kweli, ila tunahitaji mfumo mzuri wa kuchagua viongozi na siyo mtu aamke na kujiamlia kusema mi nafaa kuwa rais au naonesha nia ya urais, tunahitaji vyombo husika vifanye vetting hata kwa miaka 10, viandae mhusika bila kujali makindi kama ilivyokuwa kwa Dr. Magufuli. Tukiweza hilo mabebari watashindwa kutufahamu, na tutapiga hatua.
 
Mungu yuko na Rais wetu.
Watahangaika sana na HAWATOSHINDA KAMWE.
 
Unamzungumzia musiba kukusudia kumtoa mh rais kwenye reli au?
 

1. vita ngumu dhidi ya Mabepari
Hii ni lugha ya kizamani sana ambayo niliisikia wakati nikiwa mdogo sana, hii iliharibu mentality ya watu na imepelekea watu kuwa maskini, tuliaminishwa matajili (mabepari) ni watu wabaya, wanyonyaji kwa hiyo tukaanza kuwajengea watu fikra kwamba umaskini ndi big deal, this was wrong and it should not be repeated. Kwa hiyo unapokuja na mawazo ya miaka ya 60 yaliyotupelekea nchi kuwa maskini unaturudisha nyuma change you mindset, sasa hivi nchi inahitaji matajiri kuliko muda mwingine wowowte, ajira zinazalishwa na matajiri, vyanzo vikubwa vya kodi ni matajiri. Mawazo mgando haya ndo yanapelekea kumteka mtu prominent kama Mo Dewji eti unapambana na mabepari !! upuuzi na ujinga uliopitiliza.

2.List ya majina iliyotolewa na Cyprian Musiba
Huyu ni mtu kichaa, nonsensical, kama unamuunga mkono mtu huyu nakutoa ktk kundi la watu wenye utimamu

3. wanataka kukutoa kwenye right track

Right track unayosema hapa ni ipi?, kitu kimoja tu alichofanya na mimi nakubaliana naye kwa asilimia 100 ni kuzuia mauaji ya tembo basi, vingine vyote he is a failure. Right track ya kutoheshimu sheria za nchi na kukanyaga katiba? right track ya kufanya upendeleo chato na kuridharau bunge? right track ya kushamili vitendo vya utekaji ambavyo tunajua mratibu ni yeye? right track ya kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari na vyama vya upinzani? What kind of right track are you talking about?

4.SO FAR YOU ARE THE BEST PRESIDENT.

This is absolutely ridiculous!
 
Nahsauri wote wenyeviti wa vyama vya siasa hapa Tz waendeleee na uongozi wao kila moja alipo.............
 
hahhah lazima utakuwa una ugonjwa fulani kichwani hahaha yani mwaka huu ni wa mwisho kwakuwa utampindua? hahahaha Magufuli ni mwenyekiti wa chama hahahahah
 
Hapo kwenye namba #2 mtu hatari mwingine aliyejitangaza bahati mbaya baba jesca kampa uteuzi ni Dc Ally Happy.
 
Apanick ,asipanick itasaidia nini? Membe ndio huyooooooooooooooooo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yuko wapi?
 
Kwa hiyo mumeona Tundu Lissu hafai tena mumehamia kwa Membe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…