Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Una hofu na matusi gani wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu!?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Una hofu na matusi gani wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu!?

Hahahshahaha yule mzee tumbo linabana Sana nadhani kadri siku zinavosogea kuelekea October....😂😂😂😂 Atakua anaangalia kalenda Kila akiamka akitamani iwe inasoma mbali na uchaguzi
 
Huyo Jiwe anatafuta kuhalalisha kulitumia Jeshi "lake" la Polisi, kuwafanyia unyama, wagombea wa vyama vya upinzani
 
Kuna ishu ya wasiojulikana sijui kuwaambia wananchi mkiichagua ccm wasiojulikana watarudi toka likizo,sijui itakuwa ni tusi.
Hofu ya nn sasa.Ile ni Vita ya kugombea kula Kodi za wananchi iwe ruksa ikipita kampeni isiwe ruksa.Huna kifua cha kuhimili mikuki usichukue form
 
Hebu weka mambo sawa, atakuwa Rais au mgombea urais! Inamaana atakuwa akitoa maelekezo ya urais wakati wa kampeni? Kama ni hivyo sina sababu kushiriki kupiga kura na hao wagombea wengine watakuwa wahaini.
 
Kama walivowahaidi jumuia za kimataifa uchaguzi utakuwa huru na uwe hivohivo. Polisi nao wametuhaidi awatomuonea mtu na iwe hivo hivo.

Mfano polisi wa Malawi huwezi kuta wanashabikia chama tawala,ujitenga na ushabiki wa vyama kabisa. Ili uchaguzi uwe huru,ccm isihofu Kama imewatendea mema wananchi Hakuna haja ya hofu.
 
Kama walivowahaidi jumuia za kimataifa uchaguzi utakuwa huru na uwe hivohivo.
Polisi nao wametuhaidi awatomuonea mtu na iwe hivo hivo.
Mfano polisi wa Malawi huwezi kuta wanashabikia chama tawala,ujitenga na ushabiki wa vyama kabisa.
Ili uchaguzi uwe huru,ccm isihofu Kama imewatendea mema wananchi Hakuna haja ya hofu.
Malawi vyombo vya dola havifungamani na Rais na mahakama ni vivyohivyo.
 
Nawambieni hoja ya watumishi wa umma kutelekezwa ni hoja kubwa sana mwaka huu, kumbukeni kundi hili ndilo lina uelewa mpana sana kwenye jamii kwasababu ya kuelimika nakumbuka miaka ya 2005 nilifanya ushawishi mkubwa kwa ndugu na jamaa Kyle kijijini wampigie kura Kikwete, wapinzanzani chezeni vizuri na hii issue.

Jazeni hasira watumishi nao wataeneza sumu nchi nzima kwani miaka mitano nilikuwa ni danadana za maslahi ya watumishi na kejeli,nawambieni hii ni hoja kubwa chama kitakacho itumia vizuri kitapata odds za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaogopa uchafu wake mwingi kuwekwa wazi kuanzia ununuzi wa ndege,korosho,kuteka hela mifuko ya hifadhi ya jamii,Tanapa ,Nhif yapo mengi mno.
 
Huku mitandano nadhani kutazimwa kabisa. Maana watu hujiachia kabisa kwa kila aina ya lugha. Kuna makenge wengi sana...hahhahah

Mie kwangu kejeli,lugha za matusi na kuudhi ni kipimo tosha kwa kiongozi kuwa mstahimilivu na kubaki kwenye focus ya majukumu yake. Hauwezi kukwepaaaa.

Utaheshimiwa kwa matokeo bora ya utendaji wako.

Hata usipotukanwa hadharani na kudhauriwa haina maana utakuwa mwema. Utatwezwa hata mioyoni na watu kukutukania.

Mie nadhani Rais wangu aachane na mpango wa ku sensor maneno ya wapinzani wake. Achape kazi,sie tutamuimbia mapambio hata hao wengine nao watakuja ungana nasi.

Yesu alitezwa na kutukanwa lakini hakujibu kwa ubaya.
 
Back
Top Bottom