Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Una hofu na matusi gani wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu!?

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, Una hofu na matusi gani wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu!?

Yeye ndie wa kumuacha shetani wa matusi, kejeli na vitisho. Leo tu keshaanza mitusi.
Kukosolewa atakosolewa tu, na atakumbushwa mabovu na maovu yake tu, hata akiamua nayo kuyaita matusi.
Akawii kusema mambo ya ajabu aliyoyafanya yanamilikiwa na jeshi hivyo hayatakiwi kujadiliwa ovyo ovyo.

Refer ile issue ya meli ya Bagamoyo
 
Sgr,Stigglers,Ndege,elimu bure,ujenzi wa vituo vya afya,flyovers then imeishia hapo hakuna tena kingine cha kuongea hapo jukwaani.
Hana,akiendelea zaidi ya hapo ni kujichekesha na story za DC aoe,Mara DED hana mke,waende CBE/UDOM kuchagua wachumba.
Hakuna hoja zinazojadili namna ya kuondoa umaskini wa Watanzania ilhali raslimali tunazo.

Changamoto ya ajira hana majibu, kupandisha mishahara anadai hata wake hautoshi!!Mwenye shibe hawezi kufahamu maumivu ya mwenye njaa.Yeye na marupurupu yote anajilinganisha na MTU anayelipwa laki NNE?

Hizi dhihaka ndiyo points zake.
 
Akawahii kusema mambo ya ajabu aliyoyafanya yanamilikiwa na jeshi hivyo hayatakiwi kujadiliwa ovyo ovyo.

Refer ile issue ya meli ya Bagamoyo
Ule ulikuwa na utabaki kuwa ufisadi,8 billion Tax Payers Money buried by Mzalendo No.1.Only in Tanzania where something like that might happen and some of us are praisingly singing peacefully.

CCM asiye fisadi ni Nyerere na anayefuata bado hajazaliwa.Ni HATARI!!!Kulikoni nzige na ndiyo maana wanalindana.
 
The long and short of it ...

CHADEMA wamefikishiwa ujumbe kwa kauli iliyonyooka, isiyo na tashwishwi wala kupepesa macho - kuwa wasitarajie tena kufanya mikutano ya kampeni yenye kuonyesha makosa, upungufu na udhaifu wa serikali na CCM yake kwa mbwembwe zile walizozoea miongo iliyopita. Hata Dr. Slaa Angekuwa nao safari hii isingewezekana.

Hizi ni enzi za jiwe mkuu - asiyejaribiwa wala kufanyiwa mizaha. WATAUMIA. Na bahati mbaya yao, Watanzania wanajali zaidi ugali wao tu. Haya mambo ya demokrasia, haki za binadamu na utawala bora wamewaachia CHADEMA na “wazungu” wapambane nayo.

Inasikitisha.
 
Refa mchezaji, kazi ya NEC ni ipi?? Tunahitaji hoja kwa lugha rahisi, msituletee nadhari za vitabuni
 
Sipati picha kwenye kampeni watu kama kina Zitto wakipanda hewani na documents za jamaa wa twitter
Tv zote zitazuiwa kuonyesha mikutano ya wapinzani Hadi wawe na kibali,only tbcccm. Maana ni wakati wa kutoa hesabu umewasaidia nn wananchi.

Si ajabu watu wa kilombero,ndanda, tarime,kasulu,wataambia SGR,ndege,flyover vitu ambazo aviwagusi wao only maeneo tu vilipojengwa hivo vitu.

Kuna watu watalia jukwaani,push azipigiki Safari hii,walisahau kuwaletea wananchi maendeleo bize wanapambana na Mbowe for 5 yrs na work done is equal to zero utadhani ndio shida ya Watanzania Mara uchaguzi huu hapa.
 
Ndio siasa huna kifua kidogo huwezi imili hoja za mpinzani wako usichukue form.Maana Vita vya kugombea matumizi ya Kodi zetu si Vita vya kitoto
Kazi tunayo!
 
Nawambieni hoja ya watumishi wa umma kutelekezwa ni hoja kubwa sana mwaka huu, kumbukeni kundi hili ndilo lina uelewa mpana sana kwenye jamii kwasababu ya kuelimika nakumbuka miaka ya 2005 nilifanya ushawishi mkubwa kwa ndugu na jamaa Kyle kijijini wampigie kura Kikwete, wapinzanzani chezeni vizuri na hii issue. Jazeni hasira watumishi nao wataeneza sumu nchi nzima kwani miaka mitano nilikuwa ni danadana za maslahi ya watumishi na kejeli,nawambieni hii ni hoja kubwa chama kitakacho itumia vizuri kitapata odds za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na maelfu ya vijana walio maliza vyuo wapo mtaani
 
Mtoto wa dada anachochea mauaji hizi ndizo huwa zinatumika Kama ushahidi the Hague pakichafuka.Zimewafunga warundi,wanyarawanda wengi mfano kina akayesu,nk. Huu ni ushahidi tosha upo Google na kauli zao zote za kuchochea machafuko, uzuri Google inahifadhi kila kitu forever.

Hii Jamii Ina laana ya roho ya mauaji sababu wameshazoea kuuwa vikongwe na wazee kwa kuwakatakata mapanga.Hata ukifatilia kauli zao ni zinareflect ile laana ya kuuwa,ndio zimetuletea wasiojulikana awamu zote awakuwepo. Hata Nabii Bushiri 2015 kabla ya wasiojulikana alitabiri kwamba anaona anga la tz limejaa damu plus Hali ya uchumi itazidi kuwa mbaya kila mwaka, huu ni utabiri wa kabla ya uchaguzi 2015 Google (Prophet Bushiri Prophecies on Tanzania 2015) utaukuta huu utabiri na kila mtu ni shahidi yaliyotokea yametokea damu za watu zimemwagwa kuliko awamu zote watu wametolewa kafara kwa miungu ya washirikina Hawa,Hali ya uchumi kila mmoja ni shahidi.

Then wanakuja na propaganda eti 6milion job wanatuona watu wote akili zetu ni sawa na mateja tu. Kama tukirudia makosa again tukairudisha hii Jamii Hali itakuwa mbaya sana kiuchumi plus wasiojulikana watakata na kuuwa watu live hii Jamii Ina roho za kumwaga damu.Maendeleo ndani ya damu hapana.

Madereva wapo wengi Sana tz si lzm kuendeshwa na dereva mmoja tu. Tusiposikia na mateso tumeyaona kila mtu ni shahidi kwa kweli tusimlaumu Mungu.
 
Wasitumie kigezo hicho ili kuja kuwaamuru polisi wawaweke ndani wagombea ili wasipate mda wa kampeni hii itaharibu kila mgombea awe huru ashinde kwa haki ashindwe kwa haki
 
Back
Top Bottom