Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawambieni hoja ya watumishi wa umma kutelekezwa ni hoja kubwa sana mwaka huu, kumbukeni kundi hili ndilo lina uelewa mpana sana kwenye jamii kwasababu ya kuelimika nakumbuka miaka ya 2005 nilifanya ushawishi mkubwa kwa ndugu na jamaa wampigie kura Kikwete, wapinzani kete hii ambayo haija pindapinda miaka mitano danadana za maslahi ya watumishi na kejeli,nawambieni hii ni hoja kubwa chama kitakacho itumia vizuri kitapata odds za kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Document yoyote iliyochomolewa kwenye pc ya Dotto ni tusi kali sana la nguoni usithubutu kuitumiaHizo documents ndio matusi yenyewe sasa.
Hao wastaafu wanaingia mkenge tu kwa kupigwa sound nyepesi tu kuwa "tuchagueni tena tukamalizie mafile yenu mlipwe malipo yalikua kwenye hatua ya mwisho kabisa yani nyie wenyewe mtafurahi account zenu zinajaa mapesa mwezi mmoja baada ya kutuchagua tena"Bonge la Point,wakiweka na mafao ya wastaafu wamemaliza kazi.
Hao wastaafu wanaingia mkenge tu kwa kupigwa sound kuwa tuchagueni tena tukamalizie mafile yenu mlipwe malipo yalikua kwenye hatua ya mwisho kabisa.
Bali wenye haki ni jasiri kama simba. Ategemee kuvuruga kampeni tu maana kama kusema ukweli ni matusi kazi anayo.Mwovu hukimbia hata asipofukuzwa.
Serikali inasimamia sheria, matusi asiyotaka ni yapi, yapo kwenye sheria gani!? Kwa nini awe na hofu ya kutukanwa wakati miujiza ya mambo aliyofanya ni kama Yesu!Habari ndo hiyo,matusi hatutaki serlkali ipo macho.
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Bahati mbaya kayafany yote hayo,nafsi yake inavuja damu hivyo anataka kujipooza kwa kuwatishia watu nyau.Eti hakuna matusi,hayo wanayomsemea Mh.Mbowe baada ya lile shambulizi yanaitwaje?Jiwe mwizi,jiwe muuaji,jiwe ameteka,amepoteza ni dikteta!!hayo ndio matusi!!!
Ni nani hiyo anayeweza kuamua kama hili ni tusi na hili siyo tusi??Rais yupo sawa sheria za nchi zinazuia matusi. Kwa hiyo wanaotukana watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Mfano kifungu cha 89(1)(a)(b) kipo wazi kwamba mtu akitumia lugha kutukana au lugha chafu kiasi cha kuhatarisha amani anafanya kosa. Kwa hiyo matusi na lugha chafu ni makosa msidhani mtapona.
Huyo Pambalu mnafagilia kwa kipi cha maana alichoongea? Kama Budget Act, 2015 kifungu cha 41 kimeweka wazi kuhusu reallocation of funds. Kama budget kubwa ya serikali ilipitishwa alafu yakafanyika mabadiliko ya matumizi ya pesa na kununua ndege au kujenga uwanja Chato tatizo liko wapi?
Kwa kifupi tuseme kuwa Jiwe hayuko tayari kwa siasa za ushindani.......Bahati mbaya kayafany yote hayo,nafsi yake inavuja damu hivyo anataka kujipooza kwa kuwatishia watu nyau.Eti hakuna matusi,hayo wanayomsemea Mh.Mbowe baada ya lile shambulizi yanaitwaje?
Tusidanganyike,jamaa hayupo tayari kukosolewa kwa hoja.Ana stress zake.
Kwani wewe ukitukanwa huwa hutambui kama hili neno ni tusi na linaweza kuhatarisha usalama eneo ulipo?Ni nani hiyo anayeweza kuamua kama hili ni tusi na hili siyo tusi??
Huo ni mkakati wake tu wa kuwajaza wapinzani magerezani
We unatumia akili? Yaani sheria inaruhusu kubadili matumizi ya pesa alafu we unataka kushupaza shingo eti nayo ni hoja?Hauna hoja! Rais na CCM mmekuwa dhaifu sana wa kujenga hoja. Na hii imetokana na kudekezwa na dola mnayoitumia vibaya.
Pambalu kama hizo hoja zake zilikuwa nyepesi kwa nini kipindi kilisitishwa!? Vijana wa CCM mmekuwa watoto mayai, ubongo wenu umesinyaa na kuwa kama wa ndege!