Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Ni Ndugu Kuna Haja Ya Umakini Si Mahali Pa Kukurupuka Ili Hali Tahadhari IpoUmakini unahitajika mno na sana kwani kwa Kuongea Kwake hivyo kuna Watu yanaweza Kuwapata makubwa na hata wakaja Kujuta na Wasiamini.
Siku hizi amechukua nafasi ya Mungu,watu wanamuabudu na yeye anafurahi.Mzee baba hana kifua cha kuhimili kauli za kumuudhi japo yeye ni bingwa wa maneno ya kwenye kanga
Kila kijiji atakachopita atakuwa anarudia ujinga huo huotutashuhudia mengi ni suala la muda tu ila nitafurahi zaidi pindi atakapokuwa jukwaanni huku akiitaja midege,stigiazi joji,mi treni ya umeme[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]tuombe uzima tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwanaccm mwenye matusi kumzidi Lusinde?Wanajitahidi kujificha vichwa mchangani,walijisahau wakawa wanajinadi kwa vitu hewa ambavyo wamekeza matrilioni ya fedha za Watanzania na mikopo ya kila aina.Miradi yao bado IPO kwenye unproductive stage,haizalishi na haitaleta faida yoyote pre election na wanashuku wapinzani watautumia huo udhaifu kuwapondea kwa wapiga kura.Ndiyo maana hoja hizi wanaanza kuzipa jina LA matusi.Kuna watukanaji zaidi ya CCM nchi hii?..
Anaogopa ukweli,mbona kila Sikh analalamikia wapinzani kupinga kila kitu,alitarajia wasifie kila kitu?Kampeni bila vijembe wapi na wapi. Hata uende Marekani, Uingereza, Ujerumani nk wembe ni huo huo.
Kama yeye anaanza kujihami kwa kuvurunda kwake hiyo haituhusu sisi lkn yeye aelewe kuwa kwenye kampeni watu hawawezi kumsifu kwani kila chama kinataka kiunde serikali sasa wewe ukikaa kumsifia mwanaume mwenzako hiyo serikali utaundaje.
Sasa kipindi kilisitishwa kwa sababu gani?We unatumia akili? Yaani sheria inaruhusu kubadili matumizi ya pesa alafu we unataka kushupaza shingo eti nayo ni hoja?
Mbona alipobadili pesa za sherehe za uhuru zijenge Hospital ya Uhuru hamkuhoji? Au sababu mlikuwa hamtaki mkoa wa Geita uwe na kiwanja cha ndege.
Mimi nilikuwepo studio, nondo zilizidi unga, ikatoka amri kipindi kifungwe.Unaniuliza mimi nilikuwepo studio?
Wanajitahidi kujificha vichwa mchangani,walijisahau wakawa wanajinadi kwa vitu hewa ambavyo wamekeza matrilioni ya fedha za Watanzania na mikopo ya kila aina.Miradi yao bado IPO kwenye unproductive stage,haizalishi na haitaleta faida yoyote pre election na wanashuku wapinzani watautumia huo udhaifu kuwapondea kwa wapiga kura.Ndiyo maana hoja hizi wanaanza kuzipa jina LA matusi.Kuna watukanaji zaidi ya CCM nchi hii?..
Yote mnayosema yana mantiki sana!je kama hawa sisiem hawafai tumchague nani?mzee wa bapa?
Siasa ya bongo imepoteza mwelekeo,sina upande ninaouunga mkono,mtatuwakilisha
Yeye ndie mwenye mdomo mchafu uliyojaa matusi na kejeli, kwa mfano leo.Amefanya vizuri kuonya. Nadhani tutaendesha campeni za kistaarabu
Yeye ndie mwenye mdomo mchafu uliyojaa matusi na kejeli, kwa mfano leo.Amefanya vizuri kuonya. Nadhani tutaendesha campeni za kistaarabu
hukumuelea Mh. Rais,
Alicho manisha ni kwa wagombea wote kuepuka lugha za matusi katika kampeni kwani ndio chanzo cha uvunjifu wa amani.
kwa kuwa wapinzani sera zao zimejengwa katika misingi ya matusi wan ahii kunyimwa pumzi.
Kuna mwanaccm mwenye matusi kumzidi Lusinde ?
Hongereni sana Wabunge wa Upinzani imekuwa miaka mitano migumu sana kwenu, kuwatumikia wananchi huku mkipishana kwenye korido za Mahakama, na wengine kufungwa Safari mmeimaliza yote mliopitia yakawe chachu kwenu.
Yeye ndie wa kumuacha shetani wa matusi, kejeli na vitisho. Leo tu keshaanza mitusi. Kukosolewa atakosolewa tu, na atakumbushwa mabovu na maovu yake tu, hata akiamua nayo kuyaita matusi.Amefanya vizuri kuonya. Nadhani tutaendesha campeni za kistaarabu