Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Nimeshangaa sana kwa Rais wa nchi kutamka jambo mithili ya Msela wa Manzese kwa mfuga mbwa !
 
Utani huo. Na kila mtu anajua utani wa namna hiyo. Kila siku JPM anawatinia Wahehe na Wagogo, wazaramu. Tanzania ni udugu wa utani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku anavotania wahehe wanajinyonga au wagogo etc, wachaga mna usen. ge flan wa kulalamika
 
Kweli wachaga kwa hela usimuamini kabisa hata kama ni kidogo. Haya mengine me sisemi
 
Sasa na nyinyi wachaga si mbadilke? tatizo mnaona kuwa matapeli,kujifanya mnapenda sana pesa ni ujanja.Huo ndoo upumbavuu tafuta pesa yako ya halali na achana na ubabaishaji.Alafu mnajifanyaga mnaenda makanisani sijui kufanya nini wakati matapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni matumaini yangu unatambua Tanzania ni third world country hamna uchumi wowote wa maana wa kujisifia kwenye hii nchi wala hamna kabila lenye akili kuliko jingine mnapoteza muda tu. Mbaya zaidi majivuno yenu yanakaribisha chuki dhidi yenu ambazo ni baseless kiuhalisia ni maskini kama makabila mengine. Wachaga acheni sifa za kitoto na Watanzania wengine acheni kuwachukia wachaga ambao kiuhalisia wapo hoi (kifedha na kiakili) kama nyie tu.
 
Mkuu,Katika makabila 125 ya Tanzania ni kabila gani halina wezi na Mafisadi?

Hebu Tiririka kwa mujibu wa Scandals zilizowahi kutokea nchini


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningetamani kusikia visa vya kweli vya wizi na ufisadi uliofanyika na Wachaga..Weka wazi Kiongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…