Wasukuma ni wakabila nilikuwa sijui.Wasukuma sio kabisa la wenye chuki na mafanikio ya yeyote. Sio ma minder!. Sisi ni don't mind, don't care and don't give a dam, jirani ana nini!. Naweza kuwa na baiskeli tuu nikairemba hadi kuifunga redio, na nikaipenda baiskeli yangu mpaka basi, unaweza usiamini, hata nikipewa bure gari, sikubali, ni mimi na baiskeli yangu tuu!.
P
Tanzania tuna makabila zaidi ya 125, nyinyi tu ndio mnalalamika bado mtu kwenye system kama Katibu mkuu wizara ya Maliasili mkuu wa mkoa wa Tabora, mkuu wa wilaya Morogoro somebody Chonjo na wengine wengi. Acha ukabila tafadhali.!Tutengwe mara ngapi bob? Angali serikali yote hakuna mtumishi anaetoka kanda yote ya kaz. Sehem zote ni wasukuma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hapendi wezi! Leo wezi unawaita wajanja.?Huyu hapendi watu wajanja na wenye akili anapenda mazwazwa tu. Wachaga msikate tamaa kaja kawakuta ataondoka mtabaki kuwepo
Wewe umetiwa aibu na nani? Una hakika gani kuwa Mushi amechukua hiyo pesa? Hao askari wote wajinga wasimkamate huyo mama kwamba yeye yupo juu ya sheria. Kila kitu kina chanzo ndugu na hakuna aliyepewa dhamana kuwakilisha wachaga wote matendo ya mama huyo hayana baraka za wachaga wote,Halafu sio Mtani wetu inamaana kaamaanisha.Ila tushukuru na kusikitika VICOBA mwisho June mkajisalili na kama mnakopeshana mwende BOT mkalipie na kufuata masharti ili mdhamini akikimbia na hela basi sheria ifanye kazi .Mushi rudisha hela za watu ,mchagga wewe unatutia aibu
Mchagga mwizi na ukabila wao uliopitiliza, Mhaya taperi hivyo awawezi kulalamikiana sana.
Ni kweli kabisa kuwa Uchagga na Pesa ni vitu wiwili marafiki wa kweli.Ni ujinga wa hali ya juu kunasibisha matendo ya mtu na kabila lake.
Unataka kusema most of your tribe ni waaninifu? Tatizo mbawachukulia wachagga kipekee mno mkiongozwa na Nyerere.Most of them sio waaminifu,ndivo mlivo......
Yaaan kweli wewe Kokomanga Kuna watu wana akili kama sisi wachagga utafananisha mkoa gani na KLMWachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.
HahahaaaWachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.