Teh teh teh! Mangi hana utani na pesa πππππππ€£π€£π€£π€£π€£ hahah halafu kuna mtu anasema mnasingiziwa.
Kiukweli nimeishi na wachaga for 8 years now ila kwenye maslahi ya kipesa hawana utani. Yani atakuundia kamati tu akupige hela aidha kwa kukudalalia au kupita na genji lako mazima.
acha gubu wewe, sasa raisi si ndio kasema, nenda kamwambie raisi kama kweli wewe unamalinda, kama huna malinda endelea kukaa kimya!unatafuta mume kwa nguvu.?
Kila analosema Rais ni sawa? Rais ni Mungu? we kiazi kweliacha gubu wewe, sasa raisi si ndio kasema, nenda kamwambie raisi kama kweli wewe unamalinda, kama huna malinda endelea kukaa kimya!
mtei njoo uku, masawe anafananisha watu na viasi...Kila analosema Rais ni sawa? Rais ni Mungu? we kiazi kweli
wewe ni .....!!! PERIOD!!!mtei njoo uku, masawe anafananisha watu na viasi...
uongo uko wapi? Japo si wote lkn wengi wenu uwaminifu mbele ya hela sifuli..Wanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
unawashwa 07.. angalia mambo ya kupenda pesa, shauri yenu!wewe ni .....!!! PERIOD!!!
Lakini Wachaga ndo kabila lililowahi kutoa Mawaziri wa Fedha wengi zaidi mpaka na Gavana wa BoTdah mchaga so MTU wa kumwamini hata siku moja[emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389]
Kama wale washamba siyo
Wachaga ndivyo walivyo, huo ndio ukweli hata kama ni mchunguNi ujinga wa hali ya juu kunasibisha matendo ya mtu na kabila lake.
Ni wivu Tu wa wabongo mtu akiwa na hela nyingi eti fisadi sijui muhujumu uchumi.Ha ha ha ha.
Ametaja mafisadi.
Wahaya na ufisadi ni samaki na bahari.
Akili nyingi ndio maana hatusemani kuliko hawa wasukuma washamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati mbaya hii ndio mindset ya utawala huu. Chuki na ukabila. Rais mzima ana prejudice? Saa nyingine unajiuliza hivi kafikaje hapo? Point Sasa so wachaga tuwafanyaje? Tuwatenge au tuwaue wote maana system inawachukia waziwazi Kama vile nchi hii sio kwao. Sad.Wanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Mbali na utani; lakini huo ndio ukweli, wachagga kwa hela [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
πππRais Mwinyi aliwaambia wamakonde wakazane kwenye korosho? ikawa heka heka watu kuinamishana chini ya mikorosho