Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kwa hiyo mkuu nawewe ni 'mekuu'?Kabila la Wachagga wapo maProfessa,Drs,Accountants,MaAskofu,Wanasiasa,......kwahiyo wote hao na professional zao ni wezi !!!.
Meko wachaga ndio rolimodo wake sema kashindwa kufuata mapito yao,yeye anakwiba tu pesa zetu za kodi na kupeleka porini kwaoWanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Hao wachaga wenye akili kubwa wamegundua nini hapa duniani?Mimi siyo mchaga,
Lakini ninachokifahamu kwa makabila mengi Tanzania
1. Wavivu
2. Akili ndogo
Kwakuwa wachaga wanahela,wenye akili ndogo,wanashindwa kujua wanapataje pesa.
Wenye akili ndogo wanaweza kuzaana tu.
Kukuthibitisha haya,NI nadra kumsikia mhaya alamsema mchaga kwa kashfa
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Mwinyi aliwaambia wamakonde wakazane kwenye korosho? ikawa heka heka watu kuinamishana chini ya mikorosho
Mchagga ni mtu mwaminifu sana na hata ukimpa hela nyingi atakutunzia tu na hata kufanya biashara na kuiongeza ukija unakuta na 10% yako juu.Hawa jamaa ni wezi na wana hisia fulani ya ubinafsi ambayo inasababisha wawe wakabila ila hawataki kuambiwa ukweli
1. Urafiki wawe wanakufaidi kwenye material things
2. Biashara wapate maximum profit
3.Akikenga nyumba ajenge kiwanja chake kiishe halafu njoa,shimo la taka aombe lwa mwenzie yeye asipate hasara.
4. Ukifungua biashara kabila lingine isiwe biashara yao na usiuze ikichanganya kwisha habari yako.
5. Kama mle,mume,mtoto au mdogo akitolewa kafara au kuwa zezera tutapata hela ndefu ni chaap tu.
6. Kama ni mkurugenzi wafanyakazi wa chini wawe wa nyumbani yaani hela irudi nyumbani.
7.Ukiwa na upenyo wa kuiba iba pesa kubwa umhonge hadi aliyeona n.k iba tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana safari hii watu wa Kilimanjaro tumewekwa kushoto kwenye teuzi zake nyingiWanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.
Siku hizi tumebadilika sanaMbali na utani; lakini huo ndio ukweli, wachagga kwa hela [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye ubaguzi katika wachagga ni wanawake au wanaume ?Yaani msimlaumu Magu ni kweli wachaga kwa issue ya fedha hamuaminiki.Mko tayari kuua kwa ajili ya fedha
Hili liko wazi kwa Kila mtanzania na Wala hamjinasui.Kwenye ukabila mko na ushahidi uko tena wa wazi hivyo msimlaumu raisi kaeni kimywa mjitafakari wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana deni la taifa limeongezeka mara dufu kipindi hiki na serikali inapoteza fedha nyingi mfano kwenye ndege ATCL ni janga. Ingetosha kuingia ubia na Bwana Shirima wa Precision Air ili kufaidi naye kwenye masuala ya biashara na uendeshaji wa biashara ya anga. ATCL hawajui biashara na jiwe anafikiri ataweza kuiendesha ATCL kwa amri za ikulu.Amejaribu kuua Precision Air lakini wapi, imekufa Easy Jet badala take na ATCL itakufa na kuiacha Precision Air ikipaa.Kenya Airways wanashirikiana na Precision Air na wanafaidi hapa Tz mtabaki mkisema mchagga mwizi badala ya wengine kuiga ujasiriamali.Ndio maana safari hii watu wa Kilimanjaro tumewekwa kushoto kwenye teuzi zake nyingi
Sikatai wapo waaminifu mkuu, nina jamaa zangu tunaishi nao poa tu.Mchagga ni mtu mwaminifu sana na hata ukimpa hela nyingi atakutunzia tu na hata kufanya biashara na kuiongeza ukija unakuta na 10% yako juu.
Wachagga ni Akili kubwa wanaendesha shirika la ndege nchini.Hao wachaga wenye akili kubwa wamegundua nini hapa duniani?
Huo ukubwa wa akili umeupimaje au hisia tu?
Na unaposema wana hela unamaanisha nini? Mbona kuna wachaga kibao tu wanufaika wa TASAF!
Fahari siku zote ndiye mama wa ujinga.
Ila kawaambia wawe wanawapa wapare pesa waziweke.Wanabodi,
Asalam aleikum!
Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.
Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.
Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.
Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?
Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.
Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.
Tunaomba utuombe radhi mara moja.