Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Msipaniki ni utani. Wachaga wametapakaa tz nzima mijini na vijijini. Mbona huku mitaani tunaishi nao fresh tu. Wao ukweli ni wajanja na wanajua kutafuta pesa.
Hala Hala ndg zanguni wachaga msije ona nyie kukosa fursa ya kuongoza Nchi mkaona kwamba mnanyanyaswa. Mtaipata hyo fursa lkn kabla ya kuipata mjifunze kupitia Rwanda. Na mlivyotawanyika naomba Mungu apitishie mbali.
 
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
Kama unaweza unga mkono kiongozi wa nchi kuendekeza ukabila je wawezaje jitenganisha na akili za ki ccm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa ya kuwa mchaga ni wizi . sasa usipoiba pesa utaenda wapi? Wa chaga na wizi ni sawa tu.
Sawa na Masai kuvaa shuka nyekundu.
Au masai kuwa mlinzi,.. Masai kabila la kipumbavu sana, yan et wanadumisha mila, mila gani,
 
Hata sheria za nchi zimeruhusu utani na Msukuma ni mtani wa makabila mengi hapa Tanzania, hata hivyo record za wakina mushi kwenye pesa sio nzuri, mukulu naye katumia mwanya huohuo kurusha jiwe gizani kwa Wachaga.
Ninamjuwa jamaa wa Kichaga mfanyabiashara anaitwa Mushi pia, huyu jamaa hawezi dhulumu hata senti tano yako moja aisèe! Namuamini huyu kuliko hata mchungaji wa Kisukuma
 
Wanabodi,

Asalam aleikum!

Kwa muda mrefu sasa zile hisia na dhana ya Rais Magufuli kulichukia kabila hili la Wachaga sasa amedhihirisha jana.

Pamoja na kwamba alikuwa anaongea kwa utani lakini hilo ndilo liko moyoni kwake ila hakupata sehemu pa kulisemea.

Katika clip hii ambayo Mama mmoja aliyekuwa akilalamika kuwa wametapeliwa kwenye umoja wa vikoba vyao na Grace Mushi, kitu ambacho kilimfurahisha Rais kusikia aliyemtapeli ni Mchaga.

Rais alienda mbali zaidi kwa kumlaumu Mama huyu kuwa kwanini walimpa dhamana huyu dada wa Kichagga awahifadhie hela?



Pamoja na kwamba alikuwa akiongea kwa utani, lakini alionekana wazi wazi akishadadia kuwa Wachaga si watu wazuri na wakuwamini katika fedha.

Nina wasiwasi tukio hili ni la kutengeneza ili upate sehemu ya kulinanga kabila hili.

Tunaomba utuombe radhi mara moja.



Imeuma sana pole

1.kaongea ki utani
2.ni kweli wengi sio waamanifu na ni criminal
3.wameibiwa hela na mchaga
4.ni tabia inajulikana kwa kila mtu
5.bado wachaga ni bright Na hardworkers sana pia
 
Mkuu msipobadilika mkaacha wizi kamwe madaraka makubwa ya nchi hii mtayasikia tu. Siyo siri, kuna Dr wa kabila la wachaga toka chuo fulani aliwatapeli wanafunzi. Yaani yeye ni kibosile kwenye kitu fulani so kwenye selection ya wanafunzi ili waende kwenye shindano fulani yeye akawa anawatoza wale watoto hela. Wachaga ni smart kwa kuiba na hii inatokana na watangulizi wenu kuwa wezi na kurejesha hela za wizi uchagani hivyo ni mashindano kwenda mbele. Hatukatai wapo wachaga waaminifu sana hata ktk serikali ya awamu ya 5, ila kuna wachaga wachache ni wezi na wanapendeleana kwa ukabila waziwazi, mfano kulikuwa na mchaga mmoja shirika moja alikuwa mtu wa ajabu sana yaani aliwapa ajira wachaga tu, tena huku anajigamba kusema lazima wachaga wapewe kazi, ila uzuri alishafukuzwa kazi sasa anaisoma namba mjinga kabisa.
Unajichanganya, mara wapo wachaga waaminifu halafu hapo hapo wachaga wachache ndo wezi. Ilitakiwa wengi wawe wezi wachache waaminifu ili uhalali wa generalization uwepo.

Wachaga wengi ni wajanja wajanja ila si wezi. Ukimpa hela yako hawezi itunza kabatini, atawaza tu kuizungusha ili ukija ichukua abaki na kifaida chake. Ss kwe kuizungusha hapo ndo anaweza ipoteza akaonekana mwizi.
 
Mimi siyo mchaga,
Lakini ninachokifahamu kwa makabila mengi Tanzania
1. Wavivu
2. Akili ndogo
Kwakuwa wachaga wanahela,wenye akili ndogo,wanashindwa kujua wanapataje pesa.
Wenye akili ndogo wanaweza kuzaana tu.
Kukuthibitisha haya,NI nadra kumsikia mhaya alamsema mchaga kwa kashfa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mhaya ana hela ? We ndio hujui kitu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa niseme tu ukweli, usifanye nao biashara, ni watano zangu lakini kwenye pesa sio waaminifu kabisa. Pamoja na kuwa uaminifu ni swala binafsi sana ila percentage ikiwa kubwa kwa watu fulani lazima utie shaka.

Tuna-trade nao, tumeoana nao, ni watani na mashemeji zetu but when it comes to money hawa jamaa usiwaamini kabisa.
 
Unajichanganya, mara wapo wachaga waaminifu halafu hapo hapo wachaga wachache ndo wezi. Ilitakiwa wengi wawe wezi wachache waaminifu ili uhalali wa generalization uwepo.

Wachaga wengi ni wajanja wajanja ila si wezi. Ukimpa hela yako hawezi itunza kabatini, atawaza tu kuizungusha ili ukija ichukua abaki na kifaida chake. Ss kwe kuizungusha hapo ndo anaweza ipoteza akaonekana mwizi.
Kweli, ila kwanini mali zinazidi utu? Yaani mchaga yupo tayari aue ili apate hela?
 
Back
Top Bottom