Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Wachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.

Wakati ukiwa likizo primary school unacheza taarabu na wasichana wenzako, Mimi nilikuwa dukan nafundishwa kufunga hesabu, kabla sijamaliza primary school nilikuwa nauwezo wakusimamia duka la jumla,

Njoo tukufundishe mbinu usishindane na mshindi ( jishushe+jifunze+iga=mafanikio)

WIVU MBAYA=FAILURE
 
Mchawi hudhani wengine pia ni wachawi!

Mwizi hudhani na wengine ni wezi!

Mbaguzi hudhani na wengine ni wabaguzi!

Wanaosema Rais Magufuli ni mbaguzi itakuwa wao ndio wabaguzi!

Kama Rais Magufuli angekuwa ni mbaguzi kwa Wachaga, nadhani asingepoteza muda kukarabati hata hiyo reli ya DAR-MOSHI achilia mbali miradi mingi ya ujenzi wa barabara, maji, shule, hospitali na vituo vya afya.
 
Yaaan kweli wewe Kokomanga Kuna watu wana akili kama sisi wachagga utafananisha mkoa gani na KLM

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati ukiwa likizo primary school unacheza taarabu na wasichana wenzako, Mimi nilikuwa dukan nafundishwa kufunga hesabu, kabla sijamaliza primary school nilikuwa nauwezo wakusimamia duka la jumla,

Njoo tukufundishe mbinu usishindane na mshindi ( jishushe+jifunze+iga=mafanikio)

WIVU MBAYA=FAILURE
Tatizo lenu ndilo hili, kujifanya bora kuliko wengine kiasi kwamba mtu asiyefahamu akisikia stori za Wachaga anaweza kuamini majority ni mambo safi wakati ukweli ni kwamba, majority wala hawana tofauti na Watanzania wengine! Matokeo yake sasa, mkikutana na pride people kama Jiwe lazima awachukie tu na majigambo yenu yanayolenga kujionesha mpo upper class na wengine wote ni watu duni!!!

Jifunzeni kwa Wahaya! Miaka ya nyuma Wahaya walikuwa na huu ujinga! Yaani ilikuwa Wasomi wao, walioenda Ulaya na Marekani wao, wanaomiliki Benzi wao; yaani kila kitu wao hadi na Wahaya wale wenzangu na mimi na wao wakajisahau na kubaki kujivunia pride ya Uhaya! Kuja kushituka, leo hii Kagera ni miongoni mwa mikoa ya hovyo kabisa sio tu kwa elimu waliyokuwa wanatambia kuwa nayo bali hata kiuchumi!!!

I respect hustles za Wachaga katika kutafuta, hususani hustle za baba zenu katika kupeleka watoto shule lakini hii tabia ya watoto wao ambao bila shaka ndie nyie mliyerithi tabia za Kihaya na kujiona bora kuliko wengine wakati hao waliofanikiwa ni wachache tu, ni tabia inayowafanya wengine wawachukie kwa sababu kwa hulka ya binadamu, hata kama kweli yeye ni duni, katu hawezi kuwa tayari kuona anadharauliwa kwa kutumia uduni wake! Tabia za kujiona "sisi" na "wao" ndio huzalisha strata kwenye jamii! Unfortunately, kwa Afrika wa sasa sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi kwa sababu pamoja na majigambo yenu, majority ni maskini! Sasa kwavile sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi, "umimi" kwa Afrika ni kiwanda kizuri cha kutengeneza Ukabila!!!

Na huu umimi kwa sasa upo wazi sana kutoka kwenu, ndo maana pamoja na Magufuli kulalamikiwa ukabila, ni Wachaga ndio mara kwa mara huwa wanajitokeza kwamba Magufuli anawachukia Wachagga as if huyo Magu ana mahaba na hayo makabila mengine! Wakati watu wakimlalamikia Magufuli habari za Ukanda, ni Wachaga ndio mara kwa mara hujitokeza kumlalamikia Magufuli kwamba hawapendi Wachagga as if hiyo kanda inayosemekana Magufuli anaipendelea ina makabila yote except Wachaga!!!

Kwa tabia yenu hii ya ubinafsi, kuna kila dalili ndio nyinyi nyinyi mliokuwa mnaomshutumu Kikwete kwa udini! Lakini kwavile Magufuli ni mtu wa dini yenu, mmeachana na tuhuma za udini na kujikita kwenye masuala ya ukabila!!!

Na kwa hulka yenu hii, hata siku Tanzania Rais akija kuwa Mchaga, mtahamia kwenye strata zingine ndani ya huo huo Uchagga! Mtaleta habari za Mchaga wa Rombo, Mchaga wa Machame, Mchaga wa porini, Mchagga wa Mjini, wale akina Thadei ni maskini tu wale, n.k!

Mbaya zaidi, kwa nchi kama Tanzania you can't survive alone as Chagga kwa sababu pamoja na hao wengine mnaowadharau, wapo baadhi yao waliopatia maisha na hata kuwa na nafasi za kufanya maamuzi! Hicho kiburi chenu cha kujiona you're simply the best hakina faida yoyote zaidi ya wale wasio nyinyi baadhi yao kuanza kuwachukia! Na ikitokea hao wa kuwachukia ni wenye kufanya maamuzi, ndo pale unakuta mtu anaitupa CV kwa sababu tu wewe ni Mchaga ambae amechoshwa na majigambo na fahari zenu!!!

Tena bora hata kwa wale wanaoleta fahari ya Kichaga mbele ya akina Mwajuma Ndala Ndefu mpwa wake na Mzee Mbonde ambae kaka yao mkubwa ameolea Upogoroni! Nyie wa mitandaoni mnaowaletea umachinoo wengine ni wasomi kama nyinyi, tena si ajabu hata kuwazidi! Wengine wana uwezo mkubwa kama nyinyi tena pengine hata kuwazidi!! Sasa ndo ukute wale wa "...utakula majivuno yako"; je hajakuchinjia baharini kisa tu your surname is Massawe and s/he's experience with the "Massawes" wakati maskini ya Mungu si ajabu Massawe huyu wala sio miongoni mwa wale wa kujiona wao ndio wao na wengine wote mapopo!!!

So, punguzeni ushamba na ulimbukeni manake ninachokiona kwa baadhi yenu ni ushamba tu na ulimbukeni kwa sababu asiye mshamba na limbukeni anafahamu uhalisia! Anafahamu kwamba hao waliofanikiwa is just a drop of water in the ocean na majority ni sawa na Watanzania wengine mnaowadharau na kuwaona hawajasoma wala hawajui kutafuta ingawaje sijawahi hata siku moja kusikia Wachaga wameenda kutoa msaada kwa maskini Wagogo mkoani Dodoma! Sasa kama na wao hawatafuti sijui wanaishi vp ikiwa hao watafutaji hatujawasikia wakienda kutoa misaada kwa hao wapiga usingizi badala ya kutafuta!
 
Wachaggaa ni tatizo , ukiacha kuwadhibiti wanakuuza wewe na nchi yako. Wengi wao ni brain zero.
Nchi hii bila wachaga ingekuwa nyuma sana yaani walijanjaruka mapema wakitoka wazungu,wahindi wanafata wachaga kwa ujanja wakusaka hela bila ushirikina.

Hawa waskuma nk yamejanjaruka badae sana Wachaga wasomi,wanafweza,maendisamu na wanawake wazurii,vijijini kumependeza wanapapatikiwa na makabila mengi utaskia "nyimeholewa na muchaga niite supa mama mangii". Hii kitu malofa wachunga ng'ombe inawauma wanatamani kutushusha
 
Tatizo lenu ndilo hili, kujifanya bora kuliko wengine kiasi kwamba mtu asiyefahamu akisikia stori za Wachaga anaweza kuamini majority ni mambo safi wakati ukweli ni kwamba, majority wala hawana tofauti na Watanzania wengine! Matokeo yake sasa, mkikutana na pride people kama Jiwe lazima awachukie tu na majigambo yenu yanayolenga kujionesha mpo upper class na wengine wote ni watu duni!!!

Jifunzeni kwa Wahaya! Miaka ya nyuma Wahaya walikuwa na huu ujinga! Yaani ilikuwa Wasomi wao, walioenda Ulaya na Marekani wao, wanaomiliki Benzi wao; yaani kila kitu wao hadi na Wahaya wale wenzangu na mimi na wao wakajisahau na kubaki kujivunia pride ya Uhaya! Kuja kushituka, leo hii Kagera ni miongoni mwa mikoa ya hovyo kabisa sio tu kwa elimu waliyokuwa wanatambia kuwa nayo bali hata kiuchumi!!!

I respect hustles za Wachaga katika kutafuta, hususani hustle za baba zenu katika kupeleka watoto shule lakini hii tabia ya watoto wao ambao bila shaka ndie nyie mliyerithi tabia za Kihaya na kujiona bora kuliko wengine wakati hao waliofanikiwa ni wachache tu, ni tabia inayowafanya wengine wawachukie kwa sababu kwa hulka ya binadamu, hata kama kweli yeye ni duni, katu hawezi kuwa tayari kuona anadharauliwa kwa kutumia uduni wake! Tabia za kujiona "sisi" na "wao" ndio huzalisha strata kwenye jamii! Unfortunately, kwa Afrika wa sasa sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi kwa sababu pamoja na majigambo yenu, majority ni maskini! Sasa kwavile sio rahisi kuwa na strata za kiuchumi, "umimi" kwa Afrika ni kiwanda kizuri cha kutengeneza Ukabila!!!

Na huu umimi kwa sasa upo wazi sana kutoka kwenu, ndo maana pamoja na Magufuli kulalamikiwa ukabila, ni Wachaga ndio mara kwa mara huwa wanajitokeza kwamba Magufuli anawachukia Wachagga as if huyo Magu ana mahaba na hayo makabila mengine! Wakati watu wakimlalamikia Magufuli habari za Ukanda, ni Wachaga ndio mara kwa mara hujitokeza kumlalamikia Magufuli kwamba hawapendi Wachagga as if hiyo kanda inayosemekana Magufuli anaipendelea ina makabila yote except Wachaga!!!

Kwa tabia yenu hii ya ubinafsi, kuna kila dalili ndio nyinyi nyinyi mliokuwa mnaomshutumu Kikwete kwa udini! Lakini kwavile Magufuli ni mtu wa dini yenu, mmeachana na tuhuma za udini na kujikita kwenye masuala ya ukabila!!!

Na kwa hulka yenu hii, hata siku Tanzania Rais akija kuwa Mchaga, mtahamia kwenye strata zingine ndani ya huo huo Uchagga! Mtaleta habari za Mchaga wa Rombo, Mchaga wa Machame, Mchaga wa porini, Mchagga wa Mjini, wale akina Thadei ni maskini tu wale, n.k!

Mbaya zaidi, kwa nchi kama Tanzania you can't survive alone as Chagga kwa sababu pamoja na hao wengine mnaowadharau, wapo baadhi yao waliopatia maisha na hata kuwa na nafasi za kufanya maamuzi! Hicho kiburi chenu cha kujiona you're simply the best hakina faida yoyote zaidi ya wale wasio nyinyi baadhi yao kuanza kuwachukia! Na ikitokea hao wa kuwachukia ni wenye kufanya maamuzi, ndo pale unakuta mtu anaitupa CV kwa sababu tu wewe ni Mchaga ambae amechoshwa na majigambo na fahari zenu!!! Ndo haya sasa mnayoyaona sasa

Punguzeni ushamba na ulimbukeni manake ninachokiona kwa baadhi yenu ni ushamba tu na ulimbukeni kwa sababu asiye mshamba na limbukeni anafahamu uhalisia! Anafahamu kwamba hao waliofanikiwa is just a drop of water in the ocean na majority ni sawa na Watanzania wengine mnaowadharau na kuwaona hawajasoma wala hawajui kutafuta!!!!

Binadamu wengine hupenda chokochoko.

JPM anayeitwa mkabila humu ndani, huko kaskazini kaikarabati upya treni, anajenga zahanati nyingi tu, anafanya mengi tu.

Kuna ile hulka potofu ya kabila fulani kujiona bora kuliko mengine, bahati nzuri Mwalimu Nyerere alitufundisha utu tangu miaka ile ya 1960 mwanzoni.

Vinginevyo tungekuwa kama Nigeria nchi kubwa lakini utaifa wa hali duni.
 
Nchi hii bila wachaga ingekuwa nyuma sana yaani walijanjaruka mapema wakitoka wazungu,wahindi wanafata wachaga kwa ujanja wakusaka hela bila ushirikina. Hawa waskuma nk yamejanjaruka badae sana
Wachaga wasomi,wanafweza,maendisamu na wanawake wazurii,vijijini kumependeza wanapapatikiwa na makabila mengi utaskia "nyimeholewa na muchaga niite supa mama mangii". Hii kitu malofa wachunga ng'ombe inawauma wanatamani kutushusha

Maendisamu...wewe utakuwa bwana mdogo fulani wa sekondari au wale wa udom wanaojipiga selfie na kuzirusha whatsapp.
 
Mchawi hudhani wengine pia ni wachawi!

Mwizi hudhani na wengine ni wezi!

Mbaguzi hudhani na wengine ni wabaguzi!

Wanaosema Rais Magufuli ni mbaguzi itakuwa wao ndio wabaguzi!

Kama Rais Magufuli angekuwa ni mbaguzi kwa Wachaga, nadhani asingepoteza muda kukarabati hata hiyo reli ya DAR-MOSHI achilia mbali miradi mingi ya ujenzi wa barabara, maji, shule, hospitali na vituo vya afya.
Reli ya Dar-Moshi inaingizia serikali kodi acha kushikishwa akili kwamba wamejengewa wachagga wakati kila mtu anaitumia hata raia wa kigeni
 
Kumbe wachaga mnasera hizi? Mbona mabinti zenu wengi wameolewa na hao wasukuma ,na nyinyi wakaka wakichaga mmewashindwa na kutafuta wadada wakisukuma?

Acheni upuuzi, Magufur hana ukabila wowte sema sometime he jokes,lakin pengine anayokuwa anawatania ni kwel,

Kwani mchaga ukimwachia nchi si utakuta kashauza siku nyingi? We ukitaka ujue, Mweke kwenye kampuni mmoja awe mkurugenz,kama haujakuta wote wafanyakazi wachaga.

Tofaut kabisa na wasukuma hawa, Hawanaga issue za kubagua bagua ndio maana msukuma anaweza ishi na mtu yoyote,
 
Mleta mada ananifanya nimuonee huruma dada yangu mjane aliyeachiwa mapacha wa kiume. Marehemu mume wake alikuwa mwenyeji wa Machame.
Mjane Mama Tibaijuka ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama 6 ni Mchaga wa wapi? Mjane Jak Machache ni Mchaga wa wapi? Mgane Harrison ni Mchaga wa wapi? Mjane Mama namba 1 ni Mchaga wa wapi? Mjane mama Bukilo ni Mchaga wa wapi?
 
Upper class:-

Being so high above the madding crowd that a man would anything not to attract attention to himself!
 
jmushi1,
Kumbe Rais Magufuli ni mzalendo tokea siku nyingi sana.

Ahsante meku kwa kutupa siri ya uchapakazi wake akiwa JKT......wachaga jeshini unawatafuta kwa tochi wao wanataka TRA na BOT tu sijui kwanini!!
 
MsemajiUkweli,
Swala la yeye kuwa mbaguzi halina mjadala. Hata mama wa kambo humpa mtoto asiye wake chakula japo hampendi kabisa.
 
Back
Top Bottom