Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

THX PM
 

Attachments

  • 545bc1e6-f51c-44e8-aeac-73cce900fe77-360x220.jpeg
    9.8 KB · Views: 1
Your browser is not able to display this video.
 
Hili ni janga, Marekani walipoona maisha yao yanachezewa na mtu mmoja wakapiga chini. Wapambe wakajitokeza kulazimisha, wenye busara wakasema uhai wetu ni MUHIMU kuliko mtu mmoja. Bila kumtupa YONA Baharini tutakwisha.
Safi
 
Kwa mtu yotote mwenye akili hakupaswa kumfatiliza au kusubiri tamko kutoka kwake, unakuta mtu mzima na akili zake na elimu yake eti anasubiri Rais atoe tamko la kuvaa barakoa..
Corona haijaanza Leo na tahadhari zote tunazijua..tulipaswa kuchukua tahadhari sisi wenyewe kabla ya kusubiri kuambiwa.
 
TBS wenyewe hawajitoshelezi ki technology baadh ya vitu hawajui na hawana taaluma hiyo Cha kufanya tumwombe Mungu na Yona atupwe baharin
 
Kwahiyo hiyo vita ya kiuchumi anapigana Tanzania pekee??

Hao USA, Italy, France hawana hizo vita??

Mambo mengine ni ya kukaa kimya, yanashusha credibility yako tu.
 
Hahaha watanzania tuna shida kubwa sana..walitaka waambiwe "vaeni" ...
Sasa hivi roho zao nyeupe..kesho utaona kila mtu na barakoa yake na mandoo ya kunawa mikono kila sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…