Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Kama hamtuambii marehemu alikuwa nani basi sisi tutasema alikuwa mtu wa KITENGO.
 
Poleni sana familia ya Mhe. Ndungulile.
Faraja ya Mungu alie juu, iwe juu yenu nyote.
Maombi na sala ziwe kwenu wakati huu wa masiba na baada ya msiba
 
Huu msiba na kipindi hiki! Duh...! Poleni wafiwa siasa hzzz. Maana hajaugua, kifo cha gafra eeh
 
Sorry

Nauliza tu, hivi huyu mzee Aliyefariki alikuwa na cheo gani serikalini

hata kama marehemu angekuwa na cheo serikalini bado hapaswi kupewa ndege ya kupeleka msiba kwa gharama zetu sisi...

Waafrika tukoje? Maskini na mnyonge ndo alipie ndege kwa mwenye uwezo, mbunge waziri???

Yani ma perks and privileges yooote mpaka vocha za simu mpaka furniture, petroli dereva bure, walinzi polisi wenye bunduki bure nyumbani kwao hawa mawaziri, hawatosheki???

The talk of serikali ya Wanyonge maana yake nini, kuwaruhusu machinga barabarani na stendi za mikoa? Ni hicho tu ???
 
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.


Ndugu Dkt. Ndugulile akitoa shukrani kwa watu wote kuhudhuria na kutoa salamu za pole na rambirambi kwa msiba uliowapata kuondokewa na Baba yao kipenzi marehemu Mzee Gabriel Ndugulile.

Pia ametoa shukrani kwa niaba ya familia kwa Mhe.Rais JP.Magufuli kuwapatia ndege moja ya serikali kasafiria kuelekea Mkoani Tabora kwa mazishi.

Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mhe.Sarah Msafiri akitoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu Gabriel Ndugulile kwa niaba ya Serikali nzima ya Manispaa ya Kigamboni.

Mhe. Faustine Ndugulile Mbunge wa Jimbo la Kigamboni alifiwa na Baba Mzazi Gabriel S. Ndugulile Jumamos 18.07.2020 Asubuhi. Msiba upo Nyumbani Kwake Ferry, Kigamboni, Dar Es Salaam
ASANTE JK KWA KUTUWAKILISHA WATANZANIA. HUO NI MSIBA MKUBWA SANA! AMEFIWA MBUNGE WA TANZANIA, MBUNGE WA TAIFA LA TANZANIA. WATANZANIA BILA KUJALI ITIKADI ZETU ZA DINI NA SIASA TUMEFIWA!
 
hata kama marehemu angekuwa na cheo serikalini bado hapaswi kupewa ndege ya kupeleka msiba kwa gharama zetu sisi...

Waafrika tukoje? Maskini na mnyonge ndo alipie ndege kwa mwenye uwezo, mbunge waziri???

Yani ma perks and privileges yooote mpaka vocha za simu mpaka furniture, petroli dereva bure, walinzi polisi wenye bunduki bure nyumbani kwao hawa mawaziri, hawatosheki???

The talk of serikali ya Wanyonge maana yake nini, kuwaruhusu machinga barabarani na stendi za mikoa? Ni hicho tu ???
WEWE TUNAKUJUA NI SHOGA YAKE YULE BWANA ALIYEANGUKIA PUA. VIPI BASHITE ANAENDELEAJE NA SHUGHULI ZA VINYUNGUNI? NASIKIA AMEANZA KUJISHUGHULISHA NA KILIMO CHA MBOGAMBOGA
 
HIVI MZEE JIWE ANAJISIKIAJE DUNIA NZIMA INAVYOFURAHI KWA MWANAE MPENDWA KUANGUKIA PUA?
 
Back
Top Bottom