kini tutaziacha tu na wala hatutojua tena kinachotokea kwenye hizo pesa zetu tulizozichuma kwa halali na dhuluma pia pindi tutakaporudi mavumbini na ni lazima turudi huko ! π
Anastahili maana alijipanga mapema!! jipange na wewe!!GDP ya Tanzania iko kwake na ukoo wake
Wangekuwa Wagalatia ungesema haya Sultan Khalifa? Halafu ni Wagalatia tu ndiyo wanakufa. Sijui kuna siri gani hapa. Kuna haja ya kusilimu aisee [emoji2099][emoji2099][emoji2099]Mzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete[emoji120]
ππππππKipindi cha MWENDAZAKE alikuwa anaishia chalinze na bagamoyo mwacheni Mzee wa watu atumie PESA....
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
Wagalatia wanaamini kufa ama kuishi, yote sawa, na wanauhakika waendako!Wangekuwa Wagalatia ungesema haya Sultan Khalifa? Halafu ni Wagalatia tu ndiyo wanakufa. Sijui kuna siri gani hapa. Kuna haja ya kusilimu aisee [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Duh....Haya ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
The special thing about him is that he is not fucked up like you!What is so special about Jakaya Kikwete!