Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Kikwete bado anaonekana kuwa kijana, ni hongera kwa mwenza wake inaelekea anamhudumia vizuri!! Hongera sana mama Salma Kikwete.

img-20221219-wa0005-jpg.2451586
 
img-20221219-wa0001-jpg.2451585

Kwa kweli ni vizuri kuoa mke unayemzidi sana umri!! Ona hapa baba ana 72 yrs na mama ana 59 yrs lakini utadhani hawatofautiani kivile kiumri!! Nampongeza sana baba kwa kuliona hilo mapema. Angekuwa na mke wa miaka 72 asingeweza hata kuwa anatoka naye kwa sasa maana angekuwa kikongwe!! Hongera sana baba!! NImpongeze pia mama kwa kuchagua kuolewa na mtu mzima zaidi yake, maana angekuwa ameolewa na mume wa miaka 60 muda huu mume angekuwa anamkwepa kwenda out!! Hongera sana mama pia!!
 
Mzee Kikwete bado ananguvu,yuko fit alafu ana nuru.hana tofauti na mzee Mwinyi maisha marefu yenye baraka na afya nzuri.
namtakia kila la heri Rais wetu mstaafu mzee Kikwete[emoji120]
Wangekuwa Wagalatia ungesema haya Sultan Khalifa? Halafu ni Wagalatia tu ndiyo wanakufa. Sijui kuna siri gani hapa. Kuna haja ya kusilimu aisee [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593

Ameenda kukagua hotel zake.
 
Kikwete atabaki kuwa kipenzi cha wafanyakazi nchini Tanzania, kila mwaka mshahara ulipanda kwa kiasi kikubwa!! Alipotoka tu madarakani wafanyakazi wakapata fursa ya kujua maana ya msemo wa kiswahili: Ng'ombe hajui faida ya mkia wake mpaka hapo utakapokatika!! Mwaka huu wameongezewa kama mat*si vile!!
 
Back
Top Bottom