Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete

Utaratibu wa kipuuzi na kibyurokratik bila sababu ya msingi! VC anapaswa kwanza apatikane kwa academic na leadership merits. Watu watume maombi, kisha internal na external reviewers wapitie maombi na kupendekeza mtu, ambaye council ya chuo itaidhinisha.

Yaani sisi bado tupo zama za kale!!
 
Unashangaa nini..
Wewe ndio hujui chochote. Yuko sahihi kabisa... Acha kukariri..
 
Utaratibu wa kipuuzi na kibyurokratik bila sababu ya msingi! VC anapaswa kwanza apatikane kwa academic na leadership merits. Watu watume maombi, kisha internal na external reviewers wapitie maombi na kupendekeza mtu, ambaye council ya chuo itaidhinisha.

Yaani sisi bado tupo zama za kale!!
Hao wasomi unayotasema wewe mchakato umefanyika zaidi ya miaka miwili, hii ilikuwa kukamilisha tu Ratiba , Mchakato navyojua umeanza kusikika toka 2015.
 
Naona CV ya Prof. Anangisye imeshiba

Haya ngoja tusibili jembe jingine litakalo ziba nafasi ya Prof. Florens D.A.M. Luoga ya Deputy Vice chancellor Academic (DVCA)
he is an associate professor
 
VC wa sasa muda wake unaisha tarehe 31/12/2017 na hawezi kuongezewa muda kisheria.
Hilo linajulikana na ndiyo utaratibu.
Hakuna VC anayeteuliwa bila consent ya Rais. Senate na council ni sehemu tu ya mchakato wa lazima ili kumpata VC lakini hawezi pata hiyo position bila consent ya Rais aliyepo madarakani.
VC aliyepo aliteuliwa wakati wa Kikwete

Ni kweli lakini Mzee Meko alimuongezea muda
 
Back
Top Bottom