Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naomba. Kuuliza kwani ni razima ukiteuliwa kuwa balozi huwezi kukataa kuwa balozi ni amri kwani? Mpaka ukatekeleze hayo majukumu
 
Hivi kwani mbunge wa kuchaguliwa anaweza kuwa balozi? Mbona wanaogopa sana wakisikia jina la January, huyu jamaa anawapa stress kwakweli.
Wakitaka CCM kumfyeka wanampiga chini tu kule wajumbe wa msimu wa kura za maoni.
 
Januari hoyeee, CCM hoyeee, 2025 ni haki kwa wote hakuna cha fomu moja ya ugombea Urais. CCM inafuata Katiba yake
 
Nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na anaushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma,katika kura za maoni hivyo kisiasa ananguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko mexico, au canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CHAMA chako, (ccm ) ndio mwisho wako kwanini kwa sababu wewe huna watu, ndani ya ccm hao,wanaokuzunguka ni wanafiki.

lakini pia bila shaka 2030 , utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, HAWA vijana watukusumbua sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ujinga mtupu
 
Januari hoyeee, CCM hoyeee, 2025 ni haki kwa wote hakuna cha fomu moja ya ugombea Urais. CCM inafuata Katiba yake

Hiyo haipo mama ataendelea mkak 2030 kwa mfumo wa ccm
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.


❌❌❌❌🤧🤧🤧 Ndio unamharibia kabisaaaa
 
Kuna tikitaka zitachezwa dakika ya mwisho 2025 wote tutabaki midomo wazi. Marejeo ya 2015 yanakuja. Mtaastajabu hata chura mwenyewe asiwe mgombea.
Ndio maana mama inatakiwa atumie sana akili kama anataka tena uraisi
 
naunga mkono hoja January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

utoaji fomu moja ndio utaratibu wa CCM na sio hoja ya mtu yoyote kuruhusu。

si kweli,wana CCM wote kwa sasa mtu wao ni mmoja tuu, the one and only yeye。

ni baadhi tuu na sii wote。

2030 ni mwaka wa kiama, ama zao ama zetu Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Mkuu pascal, ccm kuna kundi kubwa limejipanga sana, so mama asipocheza karata vzr ,atashia hapo
 
Jamaa wajumbe wote wa kwake
Hata Lowasa alikuwa na NEC yote yake akaimbiwa na nyimbo kilichotokea sote tunakijuwa. Wewe ni mkubwa ukiwa ndani ya chama tu ukijifanya mkubwa kuliko chama unaishia kwa kina Mrema na Membe.
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Wewe ni mjinga. Hakuna watanzania wengine wenye sifa zaidi huyo tapeli
 
Wewe ni mjinga. Hakuna watanzania wengine wenye sifa zaidi huyo tapeli
Nitajie ambae sio tapeli
, Tanaznia tunazidiana viwangio vya uta peli , iwe chadema au ccm hakuna msafi.
 
CHAMA kinawenyewe mkuu, wakinge ni chawa tu
 
Mnapiga debe ila huyu hafai!
Hivi aliwahi kufanya nini cha kukumbukwa ktk utumishi wake ? Niambieni?
Zaidi ya ile tabia ya "kukwapua!"
 
Back
Top Bottom