Rais na Makamu wasipokuwepo nchini Nani Anakaimu?

Kwa kuchota Mabilioni na Kuweka ngumu Makamu kushika hatamu mara tu baada ya Shujaa kung'ata shuka
Kuna mengi kumhusu mwendazake hatukuambiwa, Dr. Bashiru hakuchota hata senti 5, ila ni Blaza ndie hakuwa na imani na mwanamke, akamkabidhi mamlaka yote Dr. Bashiru, hizo fedha zilichotwa katika kumhangaikia huku na kule kujaribu kuokoa maisha mara Nairobi Hospital, mara India alimradi watu walihangaika sana for 5 good days bila mafanikio ndipo mwisho wakakubali matokeo na kututangazia after 5 days!. Niliuliza humu Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5? hili mimi nimeliongea sana Pascal Mayalla amchambua Dkt. Bashiru, adai aliandaliwa kuwa Rais 2025 na hapa http://85.217.170.64/sw/ubunge-wa-bashiru-ali-wachambuzi-wanasemaje/av-57074092
P
 
Hivi yule nani alisema Mimi nimepuyanga aje hapa nikuone tena Foxhound au na hii utabisha? CDF si ndio Chief of Defence Forces au nakosea Mkuu wa Majeshi?
Hivi ni wapi nimesema umepuyanga, au unatafuta tu la kuongea, nioneshe hapo niliposema!
 
Watu wengi humu vilaza. Mfuatano ni huu
1. RAIS
2. MAKAMU
3. SPIKA
4. JAJI MKUU
NB
Waziri mkuu hayupo kwenye orodha kwa mujibu wa katiba
Ilishanikuta, umesoma Katiba ya mwaka gani?
 
Namba 4 na 9 ni MTU huyo hiyo au ni Waziri Kiongozi wa Zanzibar
 
Kama maelezo hayapo kwenye katiba basi anaeongoza nchi ni katibu mkuu kiongozi.

Kwa siasa za kijijini kwetu mkuu wa nchi akitoka tu japokuwa ana naibu wake, mwenye maamuzi ni katibu mkuu kiongozi.

Nafasi ya katibu mkuu kiongozi sio ya mzaha kabisa kwenye nchi zilizokopi katiba ya nchi mama za madola unitary constitution. Katibu mkuu kiongozi technically ndio anaongoza nchi kama uingereza bila ya mandate (yaani sio mtu wa mzaha kabisa).
 
Unatupiga fix balaa...
 
Sio kweli.
 
Hakika umeeleza vizuri sana mkuu nimekupata katiba haifatwi ipasavyo ni kujitwangia tu. Kwa kuwa una nguvu na mamlaka na wote ni wateule wako hakuna anayeweza kukujibu against

Cc. Michiwen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…