Katiba hii unayotumia ni ya nchi gani ?Kwa mujibu wa kifungu cha 37 (5) cha Katiba ya nchi iliyotungwa mwaka 1977, nafasi ya urais inapokuwa wazi kwa sababu yoyote ikiwemo kifo, viongozi watatu wameorodheshwa na ni Makamu wa Rais, na endapo hatakuwepo atachukua Spika wa Bunge na kama hayupo atachukua Jaji Mkuu.
La roche
Weka hapa hoja yako ya msingi ni ipiWewe inabidi uelekezwe na fimbo za mianzi hivi hivi hauwezi kuelewa nenda kule juu kasome tena nilichoandika mpaka nilipofika kwa Mkuu wa Majeshi alafu soma tena maana naweza nikawa nabishana na mtu ana D1
Excellent...utaratibu wa Spika kukaimu uliondolewa wakati wa Rais Mkapa.
..walikuja kupitisha sheria ya Waziri Mkuu kukaimu ikiwa Rais, na Makamu, hawapo.
Hapo tano na Sita katiba haisemi hivyoMbona Katiba ipo wazi!
Rais
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu (Kwasasa)
Spika wa Bunge
Jaji Mkuu
Watanzania siyo katiba tu ambayo hawasomi hata alama za barabarani.Hahahahaha kweli katiba hatuijui, baadhi tumeshindwa kujibu kwa kutumia katiba
Nieleweshe inasemajeHapo tano na Sita katiba haisemi hivyo
Chimfungu cha ngapi cha katibaMbona Katiba ipo wazi!
Rais
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu (Kwasasa)
Spika wa Bunge
Jaji Mkuu
Foxhound umesoma umeelewa nini hapo? Au ndio bila bila huku yai na huku yai?Ukimsikiliza ex - CDF Mabeyo kwenye ile interview akizungumza kuhusu siku za mwisho mwisho za Magufuli katika uongozi hadi kifo utagundua yafuatayo.
Nchi itaachwa kuongozwa na rais aliyepo iwe ndani au nje ya nchi siku akifariki wakati yupo madarakani, kwa tafsiri nyepesi ni kuwa nchi kuanzia March 6 hadi 17 [ hii ni kwa walichoambiwa raia wa kawaida ] nchi haikuwa na rais maana haikuwa na rais kikatiba ila kiCCM rais alikuwa anaongoza kupitia mtu mwingine kabisa asiyekuwepo katika chain of command [ ndio hao ulioambiwa walitaka kupindua meza] ili aliyetakiwa kuwa anapewa updates na kupaswa kuwa karibu badala yake akapangiwa ziara mkoani!
Nimejibu kwa kifupi tu ila swali lako linakosa validity kwa sababu ya hilo jibu nililokupa kupitia ile interview.
Ana maanisha Jaji MkuuMwanasheria hayupo hapo muondoe anafuata ni Naibu Spika
Nakuwekea kifungu husika utaona hapo Spika na Jaji Mkuu walishaondolewa kwenye chain of command rais akiwa hayupo.Nieleweshe inasemaje
Ni nini kazi ya naibu katika uongozi
Hiyo Sheria haipingani na Katiba..utaratibu wa Spika kukaimu uliondolewa wakati wa Rais Mkapa.
..walikuja kupitisha sheria ya Waziri Mkuu kukaimu ikiwa Rais, na Makamu, hawapo.
Summary.Foxhound umesoma umeelewa nini hapo? Au ndio bila bila huku yai na huku yai?
Very correct...utaratibu wa Spika kukaimu uliondolewa wakati wa Rais Mkapa.
..walikuja kupitisha sheria ya Waziri Mkuu kukaimu ikiwa Rais, na Makamu, hawapo.
Hii siyo ya Tanzania ?Summary.
Delegation kwa Tanzania inawezekana tu endapo rais akiwa amekufa.
Ukiitizama hii screenshot hapo kuna vitu viwili muhimu tu katika hayo maelezo ambapo kwa Tanzania havifanyiki [ japo vimendikwa katiba katiba ambayo inaitwa kijitabu] maana yake haifuatwi bali rais ndio msemaji na mtendaji wa kila kitu hadi afariki.
Hivyo tukubali kuwa kuanzia March 6 hadi 19 nchi haikuwa na rais kikatiba ila kwakuwa hakuna aliyejali mambo yalijiendea kwa njia wanazojua wao.
View attachment 3072803
View attachment 3072803
Leo ndio nimeelewa kosa la bashiru ni nini?Ukimsikiliza ex - CDF Mabeyo kwenye ile interview akizungumza kuhusu siku za mwisho mwisho za Magufuli katika uongozi hadi kifo utagundua yafuatayo.
Nchi itaachwa kuongozwa na rais aliyepo iwe ndani au nje ya nchi siku akifariki wakati yupo madarakani, kwa tafsiri nyepesi ni kuwa nchi kuanzia March 6 hadi 17 [ hii ni kwa walichoambiwa raia wa kawaida ] nchi haikuwa na rais maana haikuwa na rais kikatiba ila sababu hakuwa timamu kutekeleza majukumu yake sababu ya ugonjwa bali nchi alikuwa anaongoza mtu mwingine kabisa asiyekuwepo katika chain of command [ ndio hao ulioambiwa walitaka kupindua meza] ili aliyetakiwa kuwa anapewa updates na kupaswa kuwa karibu badala yake akapangiwa ziara mkoani!
Nimejibu kwa kifupi tu ila swali lako linakosa validity kwa sababu ya hilo jibu nililokupa kupitia ile interview.
Nini kilimpata Bashiru na wakati hayupo kwenye succession list?Leo ndio nimeelewa kosa la bashiru ni nini?
Nilikuwa nasoma Katiba ya 2000, sikuangalia vizuri kumbe ndani yake kuna vifungu vya 1992 & 94 vilivyofanyiwa marekebisho.Hapo tano na Sita katiba haisemi hivyo