Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Sawa. He gonna pay the price.
Price ipi wakati akiangusha ICBM anaifuta kabisa Ukraine! Kiherehere mwengine nae akijitokeza atatumiwa zawadi huko huko alipo πŸ˜…
 
Sasa mbona hawaja surrender na kumuachia msala huyo Rais wao?
 
Kwani kabla ya vita si kulikuwa na mazungumzo? Si yeye ndiye aliyeacha mazungumzo na kufanya uvamizi?
Kwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!

Acha uchochezi wewe Ukraine walikuwa na mkataba kuwa asijiunge na NATO wala kuhifadhi silaha zake, Ukraaine akakiuka mikataba
 
We jamaa acha kamba, msimamo wa Ukraine ni huu hapa, tena wanasema hao RT wenyewe
 
Kwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!

Acha uchochezi wewe Ukraine walikuwa na mkataba kuwa asijiunge na NATO wala kuhifadhi silaha zake, Ukraaine akakiuka mikataba
Na sasa baada ya 'kupigwa' kakubali kuwa hatajiunga na NATO?
 
We jamaa bana unatoa ma link ya site za wapi sijui, na kama mazungumzo hata hayajaanza tayari commitment ya Ukraine kutojiunga NATO ishatolewa au ni moja ya mambo yanayoenda kujadiliwa.?
 
Duh.. Wameshakubali tayari.?
 
Kwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!

Acha uchochezi wewe Ukraine walikuwa na mkataba kuwa asijiunge na NATO wala kuhifadhi silaha zake, Ukraaine akakiuka mikataba
Acha ujinga wewe mchambuzi uchwara wa madale
 
Price ipi wakati akiangusha ICBM anaifuta kabisa Ukraine! Kiherehere mwengine nae akijitokeza atatumiwa zawadi huko huko alipo [emoji28]
Kwahy hyo ICBM anayo yeye peke ake,mwaka 1945 USA ilimufanya nn Mjapan? Halafu leo USA asiwe na huo uwezo,ficha umbumbu wako.
 
Adhibitiwe huyu mtu mbona anataka balaa kubwa kuliko!! Hii haitoshi anataka kikosi cha sumu nacho kifunguke mwemweeee, Mungu aepushie mwali kwakweli
 
Kwahy hyo ICBM anayo yeye peke ake,mwaka 1945 USA ilimufanya nn Mjapan? Halafu leo USA asiwe na huo uwezo,ficha umbumbu wako.
We kibaraka wa Marekani tulia mvuliwe chupi
 
Pambana na Israel ndipo kuwa ulinzi ni jukumu la raia wote, siyo jeshi tu. Hata Tanzania baada ya kuvamiwa na Amin, JWTZ ilipanda kutoka askari 40,000 hadi kufikia laki moja na nusu. Unadhani waliiongezeka walitoka wapi kama siyo raia tu. Ukali wa jeshi kivita hutegemea uwezo wa makamanda siyo idadi ya wapiganaji.
 
R
Raia wa ukrain, taiwan, south korea israizaeli wana pitia mafunzo ya jeshi wakiwa wanaenda college, izo uzi, M16 wana zijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…