Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Huyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....
Kila chenye mwanzo kina mwisho....

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Zee limezeeka vibaya lile na lina roho mbaya sasa limeingiwa na mapepo ya tukose wote kama yale ya enzi ya issa bin Mariam yalivyomuingia yule Herode akawaua watoto wote akimsaka nabii Issa.
 
Mungu fundi...
 
Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.
Kwamba yeye yuko mars au?? Au mnadhani nyuklia ni gobole?
 

Elimu yako mkuu
 
Ameshapaniki baada ya nchi za magharibi kujua mbinu zake ,na tegemeo lake ndo hizo nyuklia,ambazo mataifa makubwa ya magharibi wanazo
Mkuu mimi nilikuwa namwangalia Mrusi kwa jicho la tatu: Urusi ambayo uchumi wake ni kuuza gesi, mafuta, n.k kwa NATO ili uishi, leo unawaletea za kuleta, huo ni utoto. Haya sasa, hawataki utumie dola zao, benki ndio umefungiwa, gesi yako hawanunui tena n.k. Ndani ya siku 3 unawaza kutumia silaha za nuclear kwa nchi ndogo kama hiyo, aibu kubwa. CHUTAMA TU MKUU
 
Siku ikigeuka kuwa vita ya Nuclear hakuna kiumbe kitaexist duniani.
Mkuu unataka kuniaminisha kuwa hata huyo atakae kwenda lufyatua hilo bomu la nuclear atakufa hapohapo pamoja wenzake nchi mzima? kama ni hivyo basi hao Warusi ni mazombe.
 
Atakamatwa Kama Kuku Timing Zinaendelea Na Atapitia Ya Sadam,Gaddafi
 
Inaonesha mrusi amechemsha alifikiri hii ni kazi ya siku mbili tu kumbe mambo ni magumu, sasa anatishia ma nuklia . nimesha mzarau sana huyu mrusi.
Eneo Gani Ambalo Limemfanya Atumie Nguvu Kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…