Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Wewe ulie tandale kwa mtogole ndo umegundua? [emoji3]hii dunia haiishi maajabu.Ameshindwa Vita kwa vioi??!! Watanzania a heni ushabiki usio na tija...hi ni siku ya nne ya Vita...Russia haijaingiza kwenye Vita hi main force yake...slichofanya ni kutanguliza special forums kwenye light vehicles...mavifsru yake Kama T 72 hajaingia kabisaa vitani...military strategists wa nchi za magharibi bado hazijagundua military strategies za Russia...hawajua Russia anakusudia kufanya Nini...kinachoendelea kwenye BBC, aljazeera, na kadhalika ni propaganda tu kwa sehdmu kubwa
Unajua sheria za vita mkuu?? apige kombora wote hahahaMrusi pia hakutaka kuua raia wengi wasio na hatia sema mambo yalivyoenda akajionea upuuzi tu maana kama kweli anataka kuwatoa hao jamaa anaweza akatoa askari wake wote na kutandika kombora 1 tu akamaliza kazi...............ndo maana anatishia nuclear wajue kwamba ana option nyingine....na jamaa wamelainika wamekubali mazungumzo........ngumu sana kumpiga mtu anaejificha uraiani
Hadi sasa kavunja sheria ngapi?Unajua sheria za vita mkuu?? apige kombora wote hahaha
Kawachanganya balaa!! Mpaka viongozi wa EU na NATO wanatoa maagizo wasiyo na legit nayo.Huyu Putin ana wazimu.Anafikiri yeye ni shujaa wa ulaya
Magharibi hawatambuiNa Ukraine imekubali kushiriki katika kikao husika bila kuwekewa sharti lolote,na Urusi kakubali licha ya masharti aliyotoa awali.
Hii ya kuagiza vikosi vya nyuklia vikae tayari inaonyesha Urusi kuchanganyikiwaTaarifa ya Pentagon ya jana ilisema Putin na Urusi yake wamepanic baada ya kupata matokeo ambayo hawakutarajia kwenye uvamizi wake kwa Ukraine. Taarifa ya Putin ya leo imethibitisha kupaniki kwake.
Putin alipewa forum ya kimataifa kwa viongozi mbalimbali wa dunia kumtembelea na kmshawishi asianzishe vita lakini akaghairi. Ni nini kinachomlainisha leo kama siyo baada ya kukutana na kizingitu huko. Yeye alitaka aangushe serikali ya ukraine kusudi aweke ya kwake; amekwama ile mbaya. Na mambo bado kabisa kwani nchi zote za Ulaya zimeahidi kupeleka silaha za kutosha Ukraine.Acha uongo na porojo, rais Putin alitoa offa ya mazungumzo toka siku ya ijumaa tena kwa masharti mawili ya Ukrainekutojiunga NATO na kutoweka silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine. Na taarifa hiyo tumeipost hapa
Putin asema sasa yupo tayari kwa mazungumzo ya amani na Serikali ya Ukraine 'kama wanataka mazungumzo'
Ukumbuke Ukraine ni mbuzi wa kafara tu....target hapo ni uliowataja. Target ni maduhu ila unaanza na mayalla ambaye ni rafiki yake maduhu ili maduhu akireact unampelekea moto. Ni mbinu za kivita ngosha....hakikisha huishiwi bando. target ni Ukraine mwenyewe sio Nato. think beyond of the lines.www.jamiiforums.com
Izo nyuklia anazo peke yake kwaniMzozo wa Ukraine: Putin aamuru kikosi cha nyuklia cha Urusi kuwa tayari.
Mzozo wa Ukraine: Putin aamuru kikosi cha nyuklia cha Urusi kuwa tayari - BBC News Swahili
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi.bit.ly
Nyingi maana kapiga civilians places huyo ndo mana kelele zimekua nyingi anaua raia kitu ambacho hakitakiwi.Hadi sasa kavunja sheria ngapi?
Ukishaona rais wa nchi awaomba raia wasiokuwa na uzoefu wowote wala mafunzo ya kivita washike bunduki (wakati nchi husika ina wanajeshi wenye mafunzo na uweledi wa vita) ujue tayari jeshi hilo la nchi limeshazidiwa nguvu tayari.Magenerali kibao wa Urusi wameacha kupigana vikwazo vimeathiri biashara zao Abroad na akaunti zao kufungwa hawana morali kabisa
Ndio maana jeshi la Ukraine linawakimbiza jeshi la Urusi kama midoli kukomboa miji
Sasa hivi Putin hana control na jeshi kabakia mpiga yowe isiyosikilizwa na jeshi
Huyu yule jamaa yetu, mwamba wa jeshi la nato kanda ya tz na yule dada msemaji wake wa kijeshi wapo wapi? Kipindi hicho tulichangamsha jukwaa bila mawaa!Nani kakudanganya?
Hiki ni Kiswahili cha wapi? 'hajamalizapo', ndiyo nini? Jukwaa sasa lichangiwa hata na Warundi?Ana kiporo hakijaisha, Ameacha vita ameenda kuzungumza na Ukraine bado hajamalizana nao analeta mambo ya nuclear.
Mkuu hawajambo pentagon hapo.Magenerali kibao wa Urusi wameacha kupigana vikwazo vimeathiri biashara zao Abroad na akaunti zao kufungwa hawana morali kabisa
Ndio maana jeshi la Ukraine linawakimbiza jeshi la Urusi kama midoli kukomboa miji
Sasa hivi Putin hana control na jeshi kabakia mpiga yowe isiyosikilizwa na jeshi
Hivi Mkuu upo dunia ya wapi wewe? Maana waonekana hujui hata habari zinazotrend ulimwenguni.Na Ukraine imekubali kushiriki katika kikao husika bila kuwekewa sharti lolote,na Urusi kakubali licha ya masharti aliyotoa awali.
Putin alitoa Offer ya mazungumzo toka ijumaa tena kwa masharti. Na Ukraine ikakubali masharti hayo. Angekuwa na uwezo angekubali masharti hayo? Mbona kabla ya kuchapwa alikuwa akishupaza shingo kuwa watajiunga NATO lakini baada ya kuchapwa kakubali kutojiunga?Putin alipewa forum ya kimataifa kwa viongozi mbalimbali wa dunia kumtembelea na kmshawishi asianzishe vita lakini akaghairi. Ni nini kinachomlainisha leo kama siyo baada ya kukutana na kizingitu huko.
Dalili za uoga, ameshindwa Vita ndogo anakimbilia nuclear. Nimemdharau Putin. Anaiangamiza Urusi kwa mikono yake.
eti putin kashindwa vita,,,
Kweli wewe mjinga hujui hata putin hayumo ICC.Putin hana control ya jeshi tena
Hana control kabisa
Magenerali wa Jeshi Russia hawataki vita
Amri anazotoa Haziwi respected na magenerali vita Russia wala hawana mpango wa kumsikiliza
Putin the Hague inamsubiri pumbavu kabisa
Putin hana control ya jeshi tena
Hana control kabisa
Magenerali wa Jeshi Russia hawataki vita
Amri anazotoa Haziwi respected na magenerali vita Russia wala hawana mpango wa kumsikiliza
Putin the Hague inamsubiri pumbavu kabisa
Ndugu umeongea kitu sahihi sana. Putin is pure devil ila haya mambo yanaenda kumkomesha vibaya sana EU wamemfuta katika matumizi pesa yao na USA. Alijidai mjanja sasa anawatesa wananchi wake. Biden Administration wanafunga na kutaifisha akaunta za Warussia matajiri. Wanampiga kisayansi.Putin ni kiongozi fala sana kuwah kutokea ,cha kwanza ni kiongozi ambaye anapenda vita na hajali maisha ya wananchi wake kiuchumi