Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Aliemshauri hii vita kampeleka vibaya, kwanza hakufikiri angepata upinzani mgumu namna hii, na naona mwisho wake u karibu, kila kukicha anakutana na hali ngumu, financial institutions zake ziko isolated, 4 major banks zimekua disconnected from swift, central bank ya russia haiwez tena ku deploy reserve, masoko yoote ya hisa makampun yoote yamefutwa, Nord stream 2 ishasahaulika, leo ndege zake zoote zimepigwa ban europe space, nchi kibao kwa sasa zinapeleka misaads ya kijeshi ukraine, hata ile speach yake ya atakaeingilia atakiona haina mashiko watu wametoka hadharani wakatoa silaha, uk leo imeenda mbali zaid ikatoa mpaka wanajeshi, sasa anasema eti nuke ikae tayari kuzuia sasa sio kupiga tena ni kuzuia
Mpumbavu sana Huyu mzee zama hizi sio za kuanzisha vita hovyo, na uzuri Nchi nyingi za Ulaya zimeshtuka kwamba huyu jamaa akiendelea hivi atataka kutawala Nchi zote so wameona bora wamdhibiti mapema.
 
Hiv Kwan n lazima atuambie Kama atatumia nuclear weapons au n lazima aseme hiv n vitisho vya kishamba Sana
 
Aliemshauri hii vita kampeleka vibaya, kwanza hakufikiri angepata upinzani mgumu namna hii, na naona mwisho wake u karibu, kila kukicha anakutana na hali ngumu, financial institutions zake ziko isolated, 4 major banks zimekua disconnected from swift, central bank ya russia haiwez tena ku deploy reserve, masoko yoote ya hisa makampun yoote yamefutwa, Nord stream 2 ishasahaulika, leo ndege zake zoote zimepigwa ban europe space, nchi kibao kwa sasa zinapeleka misaads ya kijeshi ukraine, hata ile speach yake ya atakaeingilia atakiona haina mashiko watu wametoka hadharani wakatoa silaha, uk leo imeenda mbali zaid ikatoa mpaka wanajeshi, sasa anasema eti nuke ikae tayari kuzuia sasa sio kupiga tena ni kuzuia
Swift sio ishu kabisa kwa Dunia ya Sasa ya miamala ya online.

Nilikua natizama Russian today, Wanasema kuwafungia Swift itachochoea kukua kwa platform nyingine Kama Bitcoin n.k

Nisawa na Tigopesa watishie kuzuia huduma, wakati zipo Airtel money,mpesa,zpesa t-pesa n.k
 

Aisee wamevutwa ndani ya nchi mpaka vifaru vimeisha mafuta. Kinachofuata ni ambush tu , hizi mbinu ni zile zile za vita ya pili ya dunia.
Vifaru vya kisasa vinatumia nuclear power.
(Nucler powerd tanks)

Hivi unavyoviona kwny Hii Vita ya Ukraine Ni masalia ya vifaa vya ww2.

Mizigo mipya hata hawajaigusa[emoji4]
 
Mk
Vifaru vya kisasa vinatumia nuclear power.
(Nucler powerd tanks)

Hivi unavyoviona kwny Hii Vita ya Ukraine Ni masalia ya vifaa vya ww2.

Mizigo mipya hata hawajaigusa[emoji4]
Mkuu inaelekea wewe upo kwenye uwanja wa mapambano nini
 
Mlisema masaa 24 hayaishi leo siku ya ngapi?? Mlidhani Ukraine ni Burundi? Putin ashaona anafeli anakimbilia nyuklia kanchi kadogo kama Ukraine kanamdindia siku 4 mnamsifu huyo putin hana lolote.
NATO nendeni Basi mkatoe msaada, kumzimia Simu mwenzenu Zelensky sio vizur mkuu[emoji26]
 
Dalili za uoga, ameshindwa Vita ndogo anakimbilia nuclear. Nimemdharau Putin. Anaiangamiza Urusi kwa mikono yake.
Ameshindwa Vita kwa vioi??!! Watanzania a heni ushabiki usio na tija...hi ni siku ya nne ya Vita...Russia haijaingiza kwenye Vita hi main force yake...slichofanya ni kutanguliza special forums kwenye light vehicles...mavifsru yake Kama T 72 hajaingia kabisaa vitani...military strategists wa nchi za magharibi bado hazijagundua military strategies za Russia...hawajua Russia anakusudia kufanya Nini...kinachoendelea kwenye BBC, aljazeera, na kadhalika ni propaganda tu kwa sehdmu kubwa
 
Aliemshauri hii vita kampeleka vibaya, kwanza hakufikiri angepata upinzani mgumu namna hii, na naona mwisho wake u karibu, kila kukicha anakutana na hali ngumu, financial institutions zake ziko isolated, 4 major banks zimekua disconnected from swift, central bank ya russia haiwez tena ku deploy reserve, masoko yoote ya hisa makampun yoote yamefutwa, Nord stream 2 ishasahaulika, leo ndege zake zoote zimepigwa ban europe space, nchi kibao kwa sasa zinapeleka misaads ya kijeshi ukraine, hata ile speach yake ya atakaeingilia atakiona haina mashiko watu wametoka hadharani wakatoa silaha, uk leo imeenda mbali zaid ikatoa mpaka wanajeshi, sasa anasema eti nuke ikae tayari kuzuia sasa sio kupiga tena ni kuzuia
Humjui, Putin. Subiri!
 
Mkuu una elimu hata ya msingi ya haya manuclear?
Wewe unataka kunifundisha nini kuhusu nuclear bomb [emoji15][emoji15]wewe ujui kitu chochote vita vy nuclear vikianza hata internet haita patikana hewani maana inaendana na kulipua satelite,na matumizi ya siraha zote za sumu. russia ina siraha za sumu za hatari kwahiyo msifikili ni mchezo hapo ukraine wakitumia siraha za sumu ni sekunde tu unaokota watu kama kumbikumbi achilia mbali siraha za kemikali na zakibiology
 
View attachment 2133223

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi.

Akizungumza na maafisa wakuu wa kijeshi, akiwemo Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu, alisema mataifa ya Magharibi yamechukua "hatua zisizo za kirafiki" kwa Urusi na kuweka "vikwazo visivyo halali".

Rais wa Urusi Vladmir Putin ameamuru usimamizi wa jeshi kuweka kikosi maalum cha nyuklia katika hali "maalum" ya tahadhari.

Hii ni baada ya kile ambacho Moscow inakiita "taarifa za uchokozi" za nchi za muungano wa Nato.
Source:BBC
Maneno ya mtu mwoga hayo. Jeshi la urusi limepigwa vibaya sana huko Ukraine ambako walitegemea kuingia na kuteka nchi mara moja. Mpaka ssa takriban askaro wao 4000 wameshauwawa na wengine wengi kukamatwa mateka.



 
Mk

Mkuu inaelekea wewe upo kwenye uwanja wa mapambano nini
Aaah wapi,
Wenzetu wakishakukamata uko kwny kutumia dizeli kwenye vifaru.

Ayo mavifaru ya dizeli utayakuta uku ngerengere na hizi nchi zetu maskini ndo tunapewaga Kama misaada.

kwaSasa mpk aircraft carrier,submarine, na amphibians zote ziko nuclear powered.
 
Swift sio ishu kabisa kwa Dunia ya Sasa ya miamala ya online.

Nilikua natizama Russian today, Wanasema kuwafungia Swift itachochoea kukua kwa platform nyingine Kama Bitcoin n.k

Nisawa na Tigopesa watishie kuzuia huduma, wakati zipo Airtel money,mpesa,zpesa t-pesa n.k
Mkuu wazuie M-Pesa, Aire-Money, na TIGO Pesa zisifanye kazi hivi wananchi, makampuni watakuonaje wewe Kiongozi wao?
 
Dalili za uoga, ameshindwa Vita ndogo anakimbilia nuclear. Nimemdharau Putin. Anaiangamiza Urusi kwa mikono yake.
Kweli kabisa Ni sawa na mhanga anae vaa mabomu na kwenda kujilipua kwenye kadamnasi afe na wengi. Putin hakupaswa kuwepo duniani anaweza Leta madhila makubwa Sana kwa Wanadamu wengi.
 
Maneno ya mtu mwoga hayo. Jeshi la urusi limepigwa vibaya sana huko Ukraine ambako walitegemea kuingia na kuteka nchi mara moja. Mpaka ssa takriban askaro wao 4000 wameshauwawa na wengine wengi kukamatwa mateka.




Ukimaliza 4000 sio kwamba na wewe utatoka na 0 casualties kwenye vita lazima
 
Back
Top Bottom