Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Ndugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.

Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
yaani wewe uko tz unakula ugali,umeshahukumu kuwa russia kashindwa vita?utani mwingine mbaya sana..
 
Ukimaliza 4000 sio kwamba na wewe utatoka na 0 casualties kwenye vita lazima
Mimi niliwahi kuwa askari, kwa hiyo ninaijua vita kiasi cha kutosha. Ni kweli, kila unapoua adui vile vile kuna upande wako unauwawa. tatizo kwenye vita hii ni kuwa jeshi la Urusi ndilo limevamia likiwa na formation yake inayojulikana, na sasa hivi linapigana na jeshi ambalo formation yake haijulikani. Kwa hiyo ni rahisi sana kuwalenga askari wa urusi kuliko kuwalenga skari wa Ukraine. Ndiyo maana sasa hivi majeshi ya urusi kama kawaida yao wao wanalipua kila wanachoweza. Muda mfupi uliopita Putin anakubali usuluhishi ambapo siku chache zilzopita alikuwa ajifanya mbabe kama siyo kuelemewa na aibu.

Ukali wa jeshi haupimwi kwa wingi wa silaha hata siku moja. yeye baada ya kulimbikza silahal nyingi aliamini kuwa Ukrainbe ni keki tu kwake. Anataka kujenga USSR tena
 
Maneno ya mtu mwoga hayo. Jeshi la urusi limepigwa vibaya sana huko Ukraine ambako walitegemea kuingia na kuteka nchi mara moja. Mpaka ssa takriban askaro wao 4000 wameshauwawa na wengine wengi kukamatwa mateka.





Hawa wapumbavu wamefungia Vyombo vya habari vya Russia ili waeneze propaganda zao
 
Mimi niliwahi kuwa askari, kwa hiyo ninaijua vita kiasi cha kutosha. Ni kweli, kila unapoua adui vile vile kuna upande wako unauwawa. tatizo kwenye vita hii ni kuwa jeshi la Urusi ndilo limevamia likiwa na formation yake inayojulikana, na sasa hivi linapigana na jeshi ambalo formation yake haijulikani. Kwa hiyo ni rahisi sana kuwalenga askari wa urusi kuliko kuwalenga skari wa Ukraine. Ndiyo maana sasa hivi majeshi ya urusi kama kawaida yao wao wanalipua kila wanachoweza. Muda mfupi uliopita Putin anakubali usuluhishi ambapo siku chache zilzopita alikuwa ajifanya mbabe kama siyo kuelemewa na aibu.

Ukali wa jeshi haupimwi kwa wingi wa silaha hata siku moja. yeye baada ya kulimbikza silahal nyingi aliamini kuwa Ukrainbe ni keki tu kwake. Anataka kujenga USSR tena
Mrusi pia hakutaka kuua raia wengi wasio na hatia sema mambo yalivyoenda akajionea upuuzi tu maana kama kweli anataka kuwatoa hao jamaa anaweza akatoa askari wake wote na kutandika kombora 1 tu akamaliza kazi...............ndo maana anatishia nuclear wajue kwamba ana option nyingine....na jamaa wamelainika wamekubali mazungumzo........ngumu sana kumpiga mtu anaejificha uraiani
 
Hivi na mitandao ya humu nchini imezuiwa kuruhusu usomaji wa habari za Russia kupitia RT na Sputnik ? Au mimi ndiye nimelimwa ban na RT au sputinik?

Sasa hivi kila nukijaribu kuinga kwenye website hizo nakumbana na website error ya

"403-forbidden-that is an error. Client does not have access rights tothe content so server is rejecting ti give proper response. That is all we know"
 
Mkuu kwa mantiki hiyo, kama ulivyoelezea inamaana hao raia wa Urusi haitawazulu hiyo nuclear na hatimaye nao kuokotwa kama kumbikumbi? Ebu fafanua ili tuijue elimu yako.
Inajulikana upande upi ambao ndo unaogopa kupigwa kwao.....mrusi kapigika sana kwake haoni jambo la ajabu....yule boya mmoja japan aligusa tu kambi yake akapeleka nuclear ili asiguswe tena nyumbani
 
Mungu fundi...
Mungu hawezi ruhusu hii sayari ingozwe na dikteta china ,marekani ilishabarikiwa kuongoza hii sayari kupitia mgongo wa Israel,kama vitabu vitakatifu vinaposema atakaeilaani Israel atalaaniwa na ataibariki ISRAEL atabarikiwa.uhusiano wa Israel na marekani ni mkubwa kuliko mwingine wowote
 
Mungu hawezi ruhusu hii sayari ingozwe na dikteta china ,marekani ilishabarikiwa kuongoza hii sayari kupitia mgongo wa Israel,kama vitabu vitakatifu vinaposema atakaeilaani Israel atalaaniwa na ataibariki ISRAEL atabarikiwa.uhusiano wa Israel na marekani ni mkubwa kuliko mwingine wowote
Mungu aliwatuma wahalalishe ushoga na kuonea nchi nyingine
 
Taarifa ya Pentagon ya jana ilisema Putin na Urusi yake wamepanic baada ya kupata matokeo ambayo hawakutarajia kwenye uvamizi wake kwa Ukraine. Taarifa ya Putin ya leo imethibitisha kupaniki kwake.
Magenerali kibao wa Urusi wameacha kupigana vikwazo vimeathiri biashara zao Abroad na akaunti zao kufungwa hawana morali kabisa
Ndio maana jeshi la Ukraine linawakimbiza jeshi la Urusi kama midoli kukomboa miji

Sasa hivi Putin hana control na jeshi kabakia mpiga yowe isiyosikilizwa na jeshi
 
Muda mfupi uliopita Putin anakubali usuluhishi ambapo siku chache zilzopita alikuwa ajifanya mbabe kama siyo kuelemewa na aibu.
Acha uongo na porojo, rais Putin alitoa offa ya mazungumzo toka siku ya ijumaa tena kwa masharti mawili ya Ukraine kutojiunga NATO na kutoweka silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine (ambavyo Ukrainealishavikubali). Na taarifa hiyo tumeipost hapa jf

Btw: Vita yapiganwa ktk ardhi ya Ukraine, Putin keshaharibu miundombinu mbalimbali ya Ukraine, malaki ya waUkraine wamekuwa wakimbizi, halafu waMarekani wa Tandale waona kuwa ati mambo yapo kama yalivyokuwa mwezi jana huko Ukraine. Kwa kifupi kwenye vita hii Ukraine kwa namna yoyote yumo kwenye hasara, huzuni, na majuto

 
Acha uongo na porojo, rais Putin alitoa offa ya mazungumzo toka siku ya ijumaa tena kwa masharti mawili ya Ukrainekutojiunga NATO na kutoweka silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine. Na taarifa hiyo tumeipost hapa

Magenerali kibao wa Urusi wameacha kupigana vikwazo vimeathiri biashara zao Abroad na akaunti zao kufungwa hawana morali kabisa
Ndio maana jeshi la Ukraine linawakimbiza jeshi la Urusi kama midoli kukomboa miji

Sasa hivi Putin hana control na jeshi kabakia mpiga yowe isiyosikilizwa na jeshi
 
Acha uongo na porojo, rais Putin alitoa offa ya mazungumzo toka siku ya ijumaa tena kwa masharti mawili ya Ukrainekutojiunga NATO na kutoweka silaha za NATO/US kwenye ardhi ya Ukraine. Na taarifa hiyo tumeipost hapa

Na Ukraine imekubali kushiriki katika kikao husika bila kuwekewa sharti lolote,na Urusi kakubali licha ya masharti aliyotoa awali.
 
Back
Top Bottom