Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Hizi taafia za ndege 100 kuipiga beirut mnazitoa wapi? Aljazeera wenyewe wanashinda wakitangaza habari za gaza na beirut mbana sijaiona hii habari?
Beirut inappigwa kweli lakini si kwa kiwanho mnachosema...punguzeni mahaba.
 

ndizo anazoringa nazo Israel na kuzitumia kuvunja nyumba na makaazi ya watu. Iran awe nazo tu hamna namna siku Israel akijitia wazimu Iran anageuka kuwa kichaa kabisa kisha tutahesabu magofu tu hapo Tel Aviv
 
Uharo mtupu.
 
Ndege zenyewe zimeundwa na engineers na wanasayansi wa urusi wenye asili ya kiyahudi.
 
Na Iran haitoishia hapo, inaenda kufanya reverse engineering na kutengeneza model yake. Hivyo ndivyo ilivyofanikiwa kutengeneza missiles zake kwa kufanyia reverse engineering makombora iliyopewa na Libya wakati inastruggle kupigana na Saddam Hussein na ndivyo ilivyoweza kuboresha drones zake pale ilipofanikiwa kuhack drone ya Wamarekani, kuishusha na kuistudy
 

Utakuwa unaumwa ugonjwa wa akili hebu wahi pale mirembe hospital kwanza kabla hali haijawa mbaya zaidi
 
Hii tuchukue kesi study na sisi tupeleke wasomi wa jw sasa sisi tutajifunza lini
 
Sure lakani israel ni saa ya nyakati za ulimwengu, ukiona hizi vita ujue nyakati mpya zaja, na dunia itatifautisha kati ya Mungu wa Israel na miungu mingine, in very clear picture.
 
Wewe Malaya msege mimi nikozee?

Mimi na Mashoga wapi na wapi?

Unakuja JF kutafuta mabasha mimi sifirii wasenge.

Shoga mzee wewe mavuzi ya matakoni yamejqaa mvi.

Wewe unaweza kunitisha mimi JF?

Eti Israel hawamuogopi Iran๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€


Jiandae, unajiona uko behind keyboard una kiburi na kejeli, nitakufunza adabu ujute kuzaliwa, ww nyoko utajutia, pumbaf mkubwa, i will screw you up, nitakupiga pumzi inakata ukijiona, utajutia nyoko ww, nakupiga hadi huoni lolote utajutia ww weka kiburi mbele
 
Ndege zenyewe zimeundwa na engineers na wanasayansi wa urusi wenye asili ya kiyahudi.

Kawadanganye mapunguani wenzakoโ€ฆ
Kampuni ya JSC Sukhoi (Kirusi: ะŸะะž ยซะšะพะผะฟะฐะฝะธั โ€žะกัƒั…ะพะนโ€œยป, matamshi ya Kirusi: [sสŠหˆxoj]) ni mtengenezaji wa ndege wa Urusi (zamani Soviet), yenye makao yake makuu katika Wilaya ya Begovoy, Northern Administrative Okrug, Moscow, ambayo husanifu zote mbili za kiraia. na ndege za kijeshi. Ilianzishwa katika Umoja wa Kisovyeti na Pavel Sukhoi mnamo 1939 kama Ofisi ya Ubunifu wa Sukhoi (OKB-51, kiambishi awali cha ofisi ya Sukhoi). Wakati wa Februari 2006, serikali ya Urusi iliunganisha Sukhoi na Mikoyan, Ilyushin, Irkut, Tupolev, na Yakovlev kama kampuni mpya iliyoitwa United Aircraft Corporation.
 
Hizi taafia za ndege 100 kuipiga beirut mnazitoa wapi? Aljazeera wenyewe wanashinda wakitangaza habari za gaza na beirut mbana sijaiona hii habari?
Beirut inappigwa kweli lakini si kwa kiwanho mnachosema...punguzeni mahaba.


 
Hahaha ulivyoanza kunishambulia ulikuwa unadhani takaa kimya๐Ÿ˜€

Unamtisha Ritz๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ endelea kuchamba
 
Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
Sio waliopandikizwa,ni kutokuelewa na kuendekeza udini kwa sisi waafrika,iran kuna population kubwa ya jewish na wanaishi fresh tu kama ilivyo waislam wanavyoishi israel,hizi vita udini ni huko afrika tu hawa jamaa vita zao wanajuana wenyewe nn chanzo
 
Sitoshangaa kusikia hizo Ndege zinatumiwa na Magaidi kusambaza Jihaad huko Yemen na kwengineko.
 
Iran haina S-400

Chanzo chako cha Twitter kina walakini

Marubani hawaendi peke yao hata ground crew wanatakiwa kupewa training kama uhitaji wa Iran ni wa haraka hivyo team ya watu 40 ni ndogo. Ila kutokana na production cycle ya Urusi sidhani kama wanaweza toa Su-35 hata 20 kwa mwaka. Labda waiuzie Iran zile ambazo Egypt iligoma kuzinunua na ziliishaanza kutengenezwa, ambazo Algeria ilikuwa inasemekana itazichukua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ