Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Iran ni wayahudi fuatilia vzr wayahudi wapo hadi saudi walizagaa kote!
Ndo maaana vita ya Iran na israel waislam wapo neutral kwa sababu hamna tofauti
Waislam wapi waliopo neutral unaowazungumzia wewe kama unakusudia viongozi wa nchi za kiislam wala hawapo neutral ni unafiq na kulinda maslahi yao haya kwa israhell na Palestinian napo mbona wapo kimya au nawao mashia kama iran
 
Wanaukumbi.

Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!

kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.

View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mungu wabariki wanaume wa kweli Iran Russia n Korea
 
Muyahudi wa MAKWENJE hujui lolote kwa taarifa yako ndege za Iran zinaenda Lebanon na kutua na kurudi Iran. Mkiwa kwenye vigango vyema mnadaganyana sana, ukiona Iran anatagaza jambo lake ujue kaishamaliza wewe punguani.
 
Hii ni orodha ya hasara za kibinadamu, nyenzo, kijeshi, kiuchumi na kijamii za Israel mikononi mwa wapinzani tangu kuanza kwa vita dhidi ya Gaza, ambavyo Israel imekuwa ikifanya siri.
:
Raia 1- 20,000, askari wa akiba na mamluki waliuawa na 50% ya vikosi vya kijeshi viliharibiwa.
2-30 elfu wanakabiliwa na majeraha ya kudumu ya kimwili na kiakili na ulemavu.
3-Israel iliita askari wa akiba wa kiume na wa kike 300,000 kushiriki katika vita hivyo.
4- Kuhamishwa kwa walowezi zaidi ya 150,000 kutoka makazi hadi hoteli katika miji ya Israeli.
5-Zaidi ya makombora 40,000 na ndege zisizo na rubani zimerushiwa Israel na upinzani nchini Lebanon, Iraq, Yemen, Syria na Gaza.
6- Hasara ya Israeli katika mwaka mmoja inakadiriwa kuwa zaidi ya dola bilioni 70.
Zaidi ya makampuni 70,000-60,000, hasa makampuni ya teknolojia, yamefunga milango yao au kuondoka Israeli.
8- Hasara kwa mapato ya utalii inakadiriwa kuwa dola bilioni 7.
9- Hoteli na makampuni pia yaliwafuta kazi maelfu ya wafanyakazi wao kutokana na kutolipwa mishahara.
10-Zaidi ya maandamano elfu 30 katika mabara ya dunia kupinga jinai za Israel huko Gaza
11- Tel Aviv imetoka mahali salama na kuishi hadi mahali hatari zaidi. Takwimu zinaonyesha kuwa 67% ya Waisraeli wanataka kuhama kutoka Israeli.
12- Kurudisha nyuma uhamiaji wa walowezi zaidi ya nusu milioni wenye uraia wa nchi mbili
13- Kuongezeka kwa kiwango cha maombi ya uhamiaji katika UAE, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Marekani. na nchi zingine za EU
 
Anatamba sana saivi lakin Israel hii vita itakapo mpeleka muda mrefu yeye ndio anaye umia kuliko hivyo vikundi hii vita angetumia busara zaidi cease fire ilikua uamuzi mzuri tuu yawekwe makubaliano namna ya kuishi hapo kati
 
Hiiii vita Netanyahu kawaingiza chaka wahuni wenzie, waisrael wanaogopa kufa kuliko jamii nyengine yyte so kuacha vita viendelee zaid y mwaka uyu Netanyahu akili ana atakuwa mtambo kidogo. Ni wazi raia wanakimbia ali ya vita isiokoma na adui zao kwasasa wanaweza kurusha tumauwa mengi kila kona wanayoitaka Netanyahu na washauriwake kwasasa wangejielekeza ktk kutafuta amani siovita. tenawaondoke ktk ardhi ambazo wamezitwaa kupitiavita. apo tu ndiowatapata amani na hezbollah na wengine watakosa support kama hii wanapewasasa. Anapozidi kuchelewa kugeukia aman ndipo raia wanadhid kukimbia. na yumkin wasirudi ata baada ya kuakikishia amani upya chini ya mataifa mawili. Kwasasa Israel kunashida kubwa kupata tiket za ndege watu wanauziwa kwabei mala2 yakaida. Netanyahu kawa kamachizi badotu anaangaika na kuwauwa watu ambao angepaswa kuongeanao. ili kusimamishavita. sasa wanaokuja viongoz wapya. awataki amani kabisa wala uwepo w Israel ktk eneo Netanyahu atakumbukwa kama PM jitu jinga lililoshindwa kusoma nyakati wenzie washashtuka wanaachia ngazi kumshinikiza atafute amani lkn wapi. Wenzao hamas wamejipanga na wanajua kinachotokea uko Israel vita ikiendelea zaid. Amani inagalama utaonekana kushindwa sijui adui zako umewapachika jina la ugaid lkn so siongei na gaid sawa. Lkn upande w pil. vijana wanajeshi wa kiIsrael uhai wao unapotea vijana wanazikwa chini ya ardhi kwakukosa maharifa tu akuna zaid. Vijana sijui 1000 daaa sio poa aman ipewe samani.vijana walikuwa na uhai kama ww unaesoma ujumbe huu.
 
Back
Top Bottom