Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Twitter, ubalozi wa urusi Tanzania wamepostSi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twitter, ubalozi wa urusi Tanzania wamepostSi kweli
Warusi wa Kimboka na Beach kidimbwiKumbe Tanzania si haba .....kwenye ulimwengu huu Hadi mwamba putin ametukumbuka
Katika ujumbe huo amesema Tanzania na urusi Wana uhusiano wa urafiki wa muda mrefu hivyo anawatakia watanzania wote mafanikio tele
Mimi ni nani ....nipinge kuwa sisi tunaheshimika View attachment 2201697View attachment 2201699
View attachment 2201690
Unataka kusemaje? mbona ujumbe uko wazi kabisa na ni heshima kubwa iyoNB: Mama yupo USA ...USA ni adui wa Jamaa...hapa kuna zaidi ya ujumbe.!
Kuwatakia watanzania heri na mafanikio inakushtua?!Hiyo Line ya mwisho imenishtua mno.
Be proud of that
Au tupeleke msaada wa Ak 47Amina tumepokea Kwa mikono miwili.tunamuombea aendelee kupata ushindi
Uko vip mkuuMwandiko wa putin naujua hauko hivyo
Vita wabongo hatuitaki kabsaakwa mbaaaaali, maandalizi ya kuungwa mkono na the coming WW3..........
Kazi ya MUNGU ni kutoa hukumu kwa wanazi ( waukrain wanaosurpotiwa na western ....). Sisi kazi yetu ni kuwapekeka kwa mungu ( Putin, 2022)Ili jina la putini likitamkwa kila mtu anajipapasa kama kakosea wapi anzia mzungu
Salamu za kawaida mkuu.....za kidiplomasiaSi kawaida hii kitu! Au ziara ya mama yetu huko kwa wababe wa NATO alikutana na nani?
SawaSi kweli
Kina tomaso hawaUkweli ni upii
Wa RussiaLabda PUTIN wa buza
Au tumpelekee msaada wa Ak 47Kwa niaba ya Watanzania wenzangu, nasema Putin "Asante Kwa salamu" [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]