Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
ndio wajue hana mpango wakumaliza vita, na huenda akatangaza vita kamili.Ha ha ha! Nilitegemea angewapelekea huko huko kama alivyokuwa anajitapa kumbe hola! Kwa mikwara Putin kamzidi hadi Saddam.