Iruru
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 1,471
- 2,891
Bora usingeandika hii. Imeanika utupu ulionao juu ya vita.
Mkuu operation ni ngumu zaidi kuliko vita kamili, kwasababu operation unapiga maeneo maalum lakini vita unabutua tu Kila kilichopo mbele yako, ndani ya muda mfupi wa mapambano nchi nzima inaweza kuonekana Kama ufukwe wa bahari...