Rais Putin: Kama mnataka vita iishe acheni kuipa Ukraine silaha

Bora usingeandika hii. Imeanika utupu ulionao juu ya vita.
Mkuu operation ni ngumu zaidi kuliko vita kamili, kwasababu operation unapiga maeneo maalum lakini vita unabutua tu Kila kilichopo mbele yako, ndani ya muda mfupi wa mapambano nchi nzima inaweza kuonekana Kama ufukwe wa bahari...
 
kwani hayo maneno ya putin wewe umeyaelewa vipi?
Hivi yaani: "Mnamuombea msamaha bwana mdogo, mnataka niache kumchapa bakora, kama mnataka niache kumchapa, basi acheni kwanza kumtia kiburi, mkiendelea kumtia kiburi nitaendelea kumchapa tu"
 
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Putin alikuwa anasubiri apigiwe simu na Macron ili atoe ombi la kuonewa huruma? Huna akili.
 
Yeye Putin alisema yeyote atakayejiingiza kwenye hiyo vita,atashambuliwa vikali,kama amejua Ukraine anasaidiwa,kwanini asizishambulie nchi hizo zilizojiingiza?
Putin anaonekana dhaifu sana,huwezi ukapigana na nchi Ndogo vile toka February.
Asipokua makini,atapigana hadi mwakani hapo Ukraine.
 
Kama yeye mwanaume kweli anaogopa nini Ukraine akisaidiwa
SI anajiamini.
kauli za msiwaidie ni za kinyonge Sana
Kaamua kupiga apige tu.
asianze kulia lia.
Hivi yaani: "Mnamuombea msamaha bwana mdogo, mnataka niache kumchapa bakora, kama mnataka niache kumchapa, basi acheni kwanza kumtia kiburi, mkiendelea kumtia kiburi nitaendelea kumchapa tu"
 
Ndugu, inaonekana una shauku kubwa sana ya kuona Russia anarusha bomu Washington, nadhani siku likitokea hili jambo utapiga sana vigeregere. Omba maisha marefu tu, mabomu yanatengenezwa ili yatumike, kuna siku kiu yako itakatwa, unachokitamani kitakuja kutokea tu, hata kama kitachelewa.
 
Kama yeye mwanaume kweli anaogopa nini Ukraine akisaidiwa
SI anajiamini.
kauli za msiwaidie ni za kinyonge Sana
Kaamua kupiga apige tu.
asianze kulia lia.
Ndugu hapo muoga ni Macron, kwanini ampigie simu Putin wakati huu ambao Russia ameshajichokea (kwa mtazamo wako)? Huu ndio ulikuwa muda wa kuendelea kutuma silaha zaidi Ukraine, tena wakati huu ulikuwa ni wakati wa kutuma majeshi sio silaha tu, huu ulikuwa ni wakati wa kumpiga Russia mpaka Moscow. Kumpigia simu Putin kumuomba aache kuipiga Ukraine ni uoga uliopitiliza.
 
ndio wajue hana mpango wakumaliza vita, na huenda akatangaza vita kamili.
Vita kamili ni ipi,maana pale anapigana vita toka February hadi leo.Kama ile vita siyo kamili,basi vita kamili itapigwa miaka mingi sana.
 
Yeye arushe tu,US naye atajua atachomfanya.
 
Hii vita haitaweza kuisha kirahisi.
Ukiichunguza kwa undani, kuna mataifa mawili makubwa hasim yanatafutana, labda muda tu.
US anamtafuta Russia, na Russia anaitafuta US, na mbabe kati ya hawa ndiye atakaye unda dola la NWO.
Sidhani kama Russia anamtafuta US, amtafute kwa kipi? US anaweza akawa anamuwinda Russia sababu kila akipanga mipango yake huwa Russia anaingia kuweka ugumu. Na anawea ugumu ili tu aaminishe dunia kuwa hakuna mwenye nguvu kijeshi kama yeye. Sasa awamu hii Russia kaingia pabaya.
 
Operation imeanza mwezi wa tatu tayari.
 
Maneno ya putin ni ya mtu aliyekata Tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…