Pale alipoamuru kuondolewa kwa balozi mdogo wa Marekani Russia bwana Bart Dorman ambae alikuwa ni mtaalam wa "kupanga" mipango sahihi, alikuwa tayari anaua uwezo wa Marekani kufanya uharibifuy mkubwa.Putin katafuta sababu ya kuingiza majeshi ili wakigusa tu moto uwake apate sababu kwamba alikwenda kutoa ulinzi kwa majimbo yaliyojitenga, sasa waguse kifaa cha russia moto unawaka mazima na ukraine inakwenda na maji. Kacheza kete moja matata sana Putin ktk hili draft
Mbona mkuu unamwandama Ivo huyu mremboUnablidi?
Kama ni drafti hapa kasukuma kete jiwe mnoo kwa mpinzani.Putin katafuta sababu mkuu, kaingiza majeshi kulinda raia sasa qnasubiri kiherehere yyt aguse kifaa chake chochote ana askari wake, ukraine inakwenda na maji kama Yugoslavia[emoji28]
Sawa! Wewe kama umeamua kusumbua akili yako, unaweza kuthibitisha uwepo wa huo mkataba? Ukoje, ulisainiwa lini na wapi?Sema haujaamua kusumbua akili yako mkuu tu
Mkuu, nilisema humu katika mada zingine kwamba Russia itafanya inavyotaka na hakuna wa kumzuia.Kwani Yeye ni Mungu ? Ni binadamu kama sisi tu. Kuja tusubiri majibu ya Jo Biden .Ndo wale wale tu.US walitambua Jérusalem kama makao makuu ya Israel. Wakaitambua pia Taiwan. Russia na USA wanatuharibia dunia yetu.
Mkuu Russia ataimega Ukraine mpaka kiev hivi hivi kidogo kidogoMkuu, nilisema humu katika mada zingine kwamba Russia itafanya inavyotaka na hakuna wa kumzuia.
Leo hii jamaa katangaza kutambua hayo majimbo na kinofuata ni kuingia humo na kusawazisha.
NATO, Marekani na wengine waendelee na kutayaqrisha vikwazo zaidi ambavyo havijasaidia chochote zaidi ya kuiiimarisha Russia kiuchumi.
Mkuu lini UKRAINE alijiondoa DONETSKI??Wananchi wanamsupport rais wao kama hawamtaki wangeandamana kama walivyofanya kwa Viktor Yanukovych
Na hayo majimbo Putin anayoyatambua Leo tokea 2014 serekali ya Ukraine ilishajitoa
Wewe hutakufaNasema hivi Putin atakufa kabla hajaivamia Ukraine. Anajiona yeye ni nani?Nimemsikiliza hotuba yake inaonekana kabisa adui yake ni USA. Si akavamie Alaska huko ?Stupid.
Mkuu Yugoslavia ilikwisha vipi shusha nondo kidogo nipate madiniMaana ya kusaini ni kwamba majeshi ya russia yanaruhusiwq kuingia rasmi eneo husika kwa ajili ya ulinzi, na wale wahuni walivyo washenzi wakikamilisha mishe hii wanahamia jimbo lingine vuguvugu linaanza wanakuja kusaini linakwenda mpaka ile ukraine iishe kama Yugoslavia
Fake newz naona hapa Al Jazeera inakanushwaLeo urusi imewauwa wanajesh 5 wa ukreine putin ni next level
Unajua Ukraine, Croatia, Serbia, Montonegro na Kosovo hazikuwepo, hizi zote zilikua Yugoslavia wakati huo, wanapiga mpira wa hatari. Marekani akafanya uhuni wakajitenga tenga kila mmoja, unajua Kosovo ni nchi inayotambuliwa na Russia peke yake tu, dunia bado haiitambui kama nchi?Mkuu Yugoslavia ilikwisha vipi shusha nondo kidogo nipate madini
EU wanatakiwa wakatae kucheza ngoma ya USA .USA alipoitambua Jerusalem kama makao makuu ya Israel why hawakumfanyia sanctions ?Russia na USA wanabore sana.Mkuu, nilisema humu katika mada zingine kwamba Russia itafanya inavyotaka na hakuna wa kumzuia.
Leo hii jamaa katangaza kutambua hayo majimbo na kinofuata ni kuingia humo na kusawazisha.
NATO, Marekani na wengine waendelee na kutayaqrisha vikwazo zaidi ambavyo havijasaidia chochote zaidi ya kuiiimarisha Russia kiuchumi.
Mbona mkuu unamwandama Ivo huyu mrembo
Hujui ukweli ukijua ukweli utampenda TU.Putin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Mjibu kwa hoja, mbona mara zote unamtusi???Hapo unaongea ukiwa umeshikwa kiuno na mjegeje upo ndani sentimeta kumi.
Yeye rais' wa Ukraine anashupaza shingo uku nchi ikimeguka kidogo kidogo hapa busara ni Mali kuliko ubabeAkili za putin anazijua mwenyewe.. [emoji23], hapa Ukraine lazima atulize akili akifanya mzaha nchi yake itabaki magofu, wahuni watajaribia zana zao kwao, toka awali nilisema, russia ataingia donbass kwa kivezo cha kulinda watu wake, hivyo hata kama ni marekani kupigana nae hawatopiga kule urusi ila vita itapiganwa hapo hapo kwa ukraine,watu wapimane ubavu, na wakilegea hii donbass ikaenda basi wajue huku mbele mpaka kiev itasombwa.
Siwezi mpenda binadamu anaetaka vita kisa ego tu. Mtu anafunga watu wanaompinga. Wananchi wake wanaishi kwa taabu.Hujui ukweli ukijua ukweli utampenda TU.