Mwanza ni kwa watanzania siyo kwa JPM acheni uzwazwa.Pale mahali kuna maaskari wa kila aina. Mwanza ni kwa JPM ambaye ndio aliyempa umakamu uliompa fursa ya urais.
Nilichogundua ni kwamba huwa anakohoa akisimama na kuhutubia akiwa garini.
Mnazungumzia sana demokrasia lakini naona wengi wenu mnaijuwa Domo- krasia.Kwanza ni kero kwa wananchi, nakumbuka 2019 Magufuli alikuwa anatoka Dar-Dom, tulikaa kwenye foleni kuanzia saa 1:30 mpaka saa 5 ndiyo akapita barabara zote zilikuwa zimefungwa.
Eneo maalumu likilo andaliwa. Tatizo mnachangia bila kusoma Uzi husikaMnazungumzia sana demokrasia lakini naona wengi wenu mnaijuwa Domo- krasia...
uko ni kanda ya ziwa yenye wapiga kura wengi wa CCM KULIKO KANDA YEYOTE NI LAZIMA ASIMAME KILA SEHEMU MAANA NI KANDA PENDWA NA YA KIMKAKATIMwendazake ndiyo muasisi wa mtindo huu usiofaa wa kuhutubia majiani.. (naona rais SSH naye anaufanya Mwanza).
Rais anapaswa kutoa hotuba ktk eneo lililoandaliwa vema kiulinzi na kiusalama siyo kusimama majiani.
Kusimama na kuhutubia majiani ni hatari kwa usalama wa rais (rejea tukio la hivi karibuni la rais wa Ufaransa E. Macron kupigwa kibao na mwananchi).
Haya ya kusimama majiani yanawezekana kwa viongozi wanaotawala kwa mkono wa chuma (madikteta tu).
Ni ushauri tu. Mawazo hayapigwi mawe.
Kukohoa ni moja kati ya tabia za mtu. Hata Joe Biden huwa anakohoa sana tu katika hotuba zake. Jaribu kumfatilia utaona ninachokwambia.Pale mahali kuna maaskari wa kila aina. Mwanza ni kwa JPM ambaye ndio aliyempa umakamu uliompa fursa ya urais.
Nilichogundua ni kwamba huwa anakohoa akisimama na kuhutubia akiwa garini.
Samia amekwisha kataa kuona kero za watu kwenye mabango, je anaruhusu kusikia kero hizo hizo kwa mdomo?Hivi kama raisi hasimami sehem akasikia matatizo ya wananchi wake kupitia vinywa vyao wenyewe atajuaje kama wananchi hao wanashida ya maji, barabara, umeme na kero nyingine nyingi zinazowahusu wananchi wa sehem husika. Kumbuka wawakikilishi wengi wa wananchi wakiwemo wabunge, huwa wanawakilisha tu matatizo ya matumbo yao ili waweze kuongezewa mishahara yao.
Siasa ni kama kioo cha kujiangalia kwa binadamu/ mwanasiasa. Ukimwita mzazi au mwanao aje nyumbani kwako ama ulipokutayarisha uzungumze nae na kumtembelea nyumbani kwake anakoishi kuna tija tofauti. ,Eneo maalumu likilo andaliwa. Tatizo mnachangia bila kusoma Uzi husika
Amsaidie mbowe awe raisi wa makamanda uchwara, wauza ungaeMungu amsaidie Bi Samia
Umeachana na Lisu sasa hivi unashabikia Bi Samia wa ccm !!Mungu amsaidie Bi Samia
kutaja afya ya Mkuu wa nchi siyo vzr ndg yanguPale mahali kuna maaskari wa kila aina. Mwanza ni kwa JPM ambaye ndio aliyempa umakamu uliompa fursa ya urais.
Nilichogundua ni kwamba huwa anakohoa akisimama na kuhutubia akiwa garini.
Naomba tafsiri ya neno MAJIANI mkuu.