digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kazi nzuri ya Her excellence the head of state
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umeambiwa hizo barabara ni za mitaa hzo ni highwaysBila hata kufika takwimu ziko kiganjani ndugu, Mwanza town/city ina watu 1,200,000 bado idadi ni ndogo sana ambayo haiwezi kusababisha foleni yoyote ile, kwa ufupi inazidiwa na Jimbo la Mbagala, sijaona Mbagala wakihitaji barabara za mitaa ziwe njia 4.Ni busara hiyo fedha kuilekeza kwa barabara za vumbi nazo zikawa na rami.
Kama unasema hizo ni barabara za mitaa basi sina shaka uijui mwanzaBila hata kufika takwimu ziko kiganjani ndugu, Mwanza town/city ina watu 1,200,000 bado idadi ni ndogo sana ambayo haiwezi kusababisha foleni yoyote ile, kwa ufupi inazidiwa na Jimbo la Mbagala, sijaona Mbagala wakihitaji barabara za mitaa ziwe njia 4.Ni busara hiyo fedha kuilekeza kwa barabara za vumbi nazo zikawa na rami.