Rais Samia aagiza Barabara Mwanza Mjini ijengwe njia nne

Mwanza ni jiji la pili kuwa na njia 4 ni halali,mbona Arusha kuna njia 4 na Mbeya zinajengwa pia hivi karibuni. Tufikiri kileo
 
Inawezekana, Tena bila kufanya ubomoaji mkubwa wa nyumba za watu. Unajenga barabara za juu na chini. Tujenge barabara za ghorofa.
 
Kwani umeambiwa hizo barabara ni za mitaa hzo ni highways
 
Kama unasema hizo ni barabara za mitaa basi sina shaka uijui mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…