Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Huyu nina wasi wasi hata yeye ana vyeti feki sasa anakuja kutafuta sympathy. Anyways kakosea platform labda aende Facebook huko ndipo wapo watu wa ajabu kama yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna platform yenye watu wa ajabu. Ww kuwepo JF hakukupi upekee wa aina yoyote. 🀣. Ushawishi wa hoja ndo kipimo cha kufanya mtu akubaliane na ww au apingane na wewe. Si aina ya platform unayotumia.
 
Shida ni mfumo wa ajira ulikuwa mbovu na usio makini hivyo ulipelekea watu kuingia kwenye ajira kirahisi bila kuwa na vigezo. Hivyo lawama ni kwa serikali na kwa wote walioingia kwenye utumishi wa uma kwa udanganyifu. Mh Rais kama anawalipa ni vema kwa sababu mfumo uliruhusu udanganyifu
 
Ukiitwa kuthibitisha utwezana ?
Mbona jeshini , polisi , magereza , uhamiaji na usalama wataifa hawakufukuzwa kazi huko jeshini cheti kimoja mpaka watu kumi wanakitumia na Wana vyeo vikubwa sana , hii double standard ya nini ?
 
Wala hakubugi. Alifanya kazi yake vizuri tu.
 
Kumbe hujui nyumbu wa lile li chama la kaskazini ndio wengi waliopigwa chini kwa vyeti fake
 
Sio yeye atakayefunga watu 1000 wala mimi kupata kitu chochote,hiyo ni sheria kufuata mkondo mkuu,wapewe haki yao ya mafao ila tusiishie hapo kama walighushi na sheria ina maelekezo yake kwa mtu aliyeghushi,nao ufuatwe halikadhalika.
Na sheria hii itekelezwe kwa kada zote zilizopo kwenye ajira ya serikali, nikimaanisha ijumuishe vyombo vya usalama na ajira za kisiasa. Sawa?
 
Mfumo haukuruhusu udanganyifu bali watu walitumia mfumo dhaifu wa serikali kuidanganya serikali.......kwa lugha nyepesi hao ni matapeli.....wameitapeli serikali kwa kipindi chote walichokuwa wanatumikia......hata huo mshahara waliokuwa wanapokea ni haramu kwa maana waliopokea hali ya kuwa wanajua kuwa wanatumia udanganyifu.......hivyo basi hata makato yaliyotokana na huo mshahara ni haramu.......wao ndio wanatakiwa wailipe serikali mishahara yote iliyokuwa inawalipa......kwenye zinazoongozwa kwa utawala wa sheria walitakiwa wawe jela muda huu.......
 
Uchunguzi ufanyike na wanaostahili wapate wanachostahili.....lakini kuwalipa waliotumia vyeti feki ni haramu......
 
Wanaochapisha fedha bandia wanajitahidi kuifanya ifanane na fedha halali.....na hatimaye kuingia kwenye mzunguko wa fedha kwa watu kushindwa kuitambua mapema......lakini kushindwa kuitambua kwa anayepewa na kuitumia haimaanishi kuwa fedha hiyo ni halali.....
 
Hili sio suala la elimu ni suala la uzalendo kwa nchi yako.....waTanzania walio wengi ni wahalifu wanaongoja kupata nafasi ya kufanya uhalifu.....hii mentality imeathiri kwa kiasi kikubwa sana kwenye jamii zetu kiasi kwamba uhalifu limekuwa jambo la kawaida kwenye macho ya wanajamii......Hakuna anayewapa credit wachapakazi bali wahalifu ndio wanaopewa heshima.....

HAO WANAO TETEA HAO WAHALIFU KULIPWA NDIO ZAO LA WANAJAMII HIYO HIYO.....
 
Kisheria hawatakiwi kulipwa,kwa sababu walipata hiyo mishahara kwa kugushi,hawa inabidi washitakiwe.
 
Kuna mabwege watachekelea wakidhani watalipwa kweli!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Kazi kwa dhati kwa kugushi vyeti!kugushi ni kosa la jinai.
Mtu akikuibia gari yako,akaitumia kama gari la wagonjwa,au akafanyia biashara na akawa ana hudumia watoto yatima,siku ukimkamata akakuambia aliiba lakini alifanyia mema,kwahiyo yale mapato ni ya Kwake,utajisikiaje?
 
Reactions: R.K
Kama mnaweledi mbona tiss, jwtz, polisi, uhamiaji magereza mbona hamkuwaguza
Wakati huko ndiko wapo wengi kuliko sekta zote.?
Acheni double standard
?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…