Pre GE2025 Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu alikuwa na wewe wakati anakwambia ilo. Mbona ukienda kujisaidia hakwambii kuwa mipango ya kwenda chooni unatumbo kuharisha
 
Samia hashiki jembe pengine hajui hata kulima.

Anapangaje bei ya mazao?

Bei ya mazao huamuliwa na uhitaji kwenye soko [demand] .

Hizi cheap politics hazina tija na watazibeba wajinga kuja kumpa sifa asizostahili.
Wewe fala sokoni mahindi ni 30,000-50,000 Kwa bei hiyo amewaokoa wakulima.

Kabla ya kuropoka jipe mda wa kutafakari.
 
Acha aendelee kujitekenya atacheka mwenyewe
Shu
 
Samia amefuta hiki Kilio na malalamiko ya bei ya mahindi Nchi nzima πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/NgJ0AdxHYpA?si=3nGX3On_OCgSfXrT
 
Niko Hapa Kamsamba Yaani Kifua KimelowA Kwa Bujijiko La Machozi Ya Furaha Kwa Bei Ya Buku Saba Pale Lumumba FC 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Wewe fala sokoni mahindi ni 30,000-50,000 Kwa bei hiyo amewaokoa wakulima.

Kabla ya kuropoka jipe mda wa kutafakari.
Wewe mpuuzi hauna tangible data zaidi ya uchawa kwa huyo ajuza wenu hivyo sina sababu ya kuengage na wewe.

Na hii thread pia imeanzishwa na mtu wa kundi lako hivyo lazima mpeane support.
 
Biashara ndio ilivyo .wewe unaweza uza kwa bei hii halafu mwenzako akauza kwa bei ile.Bei hubadilika kila siku na ndio maana wengine huhifadhi ili kusikilizia bei ya soko inakwendaje.
Sentensi ya mwisho ndio jibu la ninachowaelewesha hapa nyie kunguni wa mama.

Soko ndio huamua bei duniani kote, Tanzania bangi haijawa legalized ni adimu sokoni "scarce" na bei iko juu ila siku ikiruhusiwa kuwa kilimo huria bei itapungua na soko litaamua bei ndio pale unasikia "grade 1" "grade 2" na kadhalika.

Ifike mahali CCM itumie machawa walioenda shule walau wanaweza kutetea hoja sio kubeba taarifa na kuzileta humu bila kujua wameleta nini.
 
mia 7 kwa kilo kuanzia kesho asubuhi.
Gharama kwa mwaka 2023...sijui eneo gani ilikuwa hivi
 
Sawa lakini kura zetu hapati ng'o!!
 
Mkulima akiwa na "ukwasi" anaakisi uimara wa maamuzi yake. Hawezi Tena kukwamishwa na laghai za vitu vidogo.

Kwa wengine ukwasi wa mkulima ama mfugaji ni tishio...! Tunafanyaje Sasa ...!!!
 
Naona wivu umekushika sana baada ya kuona wakulima wanakwenda kupata bei nzuri kwa mazao yao na kufaidika na jasho lao.
 
Samia hashiki jembe pengine hajui hata kulima.

Anapangaje bei ya mazao?

Bei ya mazao huamuliwa na uhitaji kwenye soko [demand] .

Hizi cheap politics hazina tija na watazibeba wajinga kuja kumpa sifa asizostahili.
Acha kulia lia wewe naona wapinzani mmeshaanza kuchanganyikiwa kabisa
 
Chini ya huyu mama neema zinazidi kimiminika Kila uchwao

Uzuri Kwa Sasa mahindi ni ya kutosha kazi imebali kidogo tuh Kwa Kila mtanzania kutafuta mboga ambayo ki uwalisia ni kama nayo mama katushika mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…