Pre GE2025 Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Garama ya kuzalisha 1kg ya mahindi ni Shs ngapi? Ni chini ya bei hiyo? Achana na blabla. Quantify your claim and praises.
 
Chini ya huyu mama neema zinazidi kimiminika Kila uchwao

Uzuri Kwa Sasa mahindi ni ya kutosha kazi imebali kidogo tuh Kwa Kila mtanzania kutafuta mboga ambayo ki uwalisia ni kama nayo mama katushika mkono
Kwa hakika wakulima chini ya uongozi wa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan wamekuwa na furaha sana na kufaidika na jasho lao. Ndio maana wanasubiri uchaguzi kwa hakika sana ili wampigie kura za ndio kwa kishindoo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
 
Machozi yamenitoka mpaka nimejaza bwawa sasa hv nafugia samaki kwa kutumia machozi
Fuga tu hao samaki maana hata soko la samaki nalo lipo tu zuri kwa juhudi za Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
 
Garama ya kuzalisha 1kg ya mahindi ni Shs ngapi? Ni chini ya bei hiyo? Achana na blabla. Quantify your claim and praises.
Acha kupiga porojo kwa vitu usivyo na uelewa navyo .mimi ni mkulima na ninafahamu vyema kabisa faida ya bei hiyo iliyotangazwa na Mama yetu mpendwa Daktari Mama Samia
 
Hakuna kitu chochote hapo cha kuniliza chawa , hilo gazeti lako peleka kwenyr vikundi vyenu vya WhatsAapp ili mumsifie mama yenu vizuri.
Wivu utakuuwa mwaka huu na roho yako hiyo ya kwanini.Mama anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania
 
Avha
Wewe mpuuzi hauna tangible data zaidi ya uchawa kwa huyo ajuza wenu hivyo sina sababu ya kuengage na wewe.

Na hii thread pia imeanzishwa na mtu wa kundi lako hivyo lazima mpeane support.
Acha ujinga wako hapa wewe
 
Wanamuangushaje? Kwenye hili wamemuangushaje?
Kama wateuliwa wangeyasikiliza malalamiko ya wakulima leo hii raisi asingekuwa na muda wa kusikiliza malalamiko ya wakulima labda angekua anatoa suluhu kwenye mambo mengine lakini wateule wamejaa vibri wanampa kazi raisi mara mbili akatafute mikopo ya maendeleo halafu pia aje atatue suala la bei je hapo wateule aliowaamini hawaja muangusha?!
 
Luca toa maelezo yanayoeleweka punguza mahaba hata unashindwa kufikisha ujumbe ipasavyo,hata pale ujumbe unapokuwa ni mzuri na ungeweza wanufaisha wengi,jitahidi kutokuwa mbinafsi kwa viwango hivi,utaweza kuwasaidia wengine.
Maelezo yangu mbona yapo wazi na yamenyooka kabisa ndugu yangu mtanzania.nimeambatanisha hadi maelezo ya ziada kutoka kwa waziri akimnukuu Mheshimiwa Rais
 
Lucas unaumwa?

Kuna mkulima mwenye mahindi mwezi huu July wa kuuza NFRA?

Mtaani hakuna mahindi ilhali Serikali inayauza yaliyoko NFRA nje ya Nchi, Zambia na Malawi🤔
Kweli nimeamini wewe ni mgonjwa au umeandika ukiwa na usingizi .napenda kukupa tu taarifa kuwa mimi ni mkulima na kwa sasa kuna watu wengine bado hata hawajapukuchua mahindi yao. Acheni kukaa huko mijini mpaka hamuelewi kinachoendelea hapa Nchini.
 
Sijaona Cha maana umeandika ,basi sawa
 
Sina neno wacha nile buyu nisubiri 2: pongezi za wakulima wanaopangiwa bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…